Sijambo Mjukuu, habari za huko Mjini ๐คBabu kijana upo?
๐๐๐๐Kuna mambo yanahitaji majaribio lakini sio kwenye kula ๐คช
Nimewahi kujaribu kulalia matunda usiku, huwezi amini niliokolewa na uwepo wa Mayai kwenye Fridge.
Otherwise wale wadudu wa tumboni walitaka wanitoe roho maana walishaanza kuandaamana kwa kuunguruma aisee ๐๐
Kwa nini unajiita babu kwani unataka wachumba wakukimbie jf ๐๐Sijambo Mjukuu, habari za huko Mjini ๐ค
Na umri wote huu nilionao unaniita Kijana, Babu yenu Umri umenitupa Mkono ujue ๐คช
Naona mnanichorea ramani,jinga sanaTufanye jambo basi au vp kama yupo dar Itakuwa vizur kama yupo mkoa tumtumie nauli
Hakika, mwenyewe kuna siku iliwahi nitokea ingawa ilikuwa hotelini.๐๐๐๐
Kama hujazoea hukawiii kwenda kusaka msosi mtaani usiku mnene!!!!
Mwenzio nimekunywa maji ya moto yaliyo changanywa na ndimu mpaka nimechoka nikivaa nguo ya kubana kinachomoza ๐ฌ๐๐Bantu Lady Aaliyyah cocastic Nuzulati Naombeni tips za kupunguza kitrambiii!โบ๏ธ
Nina kitambi msambao kimesambaa hapa chini ya kitovu ๐๐!!
Cha chini mazoezi na na ulaji. Kupunguza vya mafuta na wanga. Mimi nilishachoka. Babe siku akikubali niende gym kitaisha ๐Bantu Lady Aaliyyah cocastic Nuzulati Naombeni tips za kupunguza kitrambiii!โบ๏ธ
Nina kitambi msambao kimesambaa hapa chini ya kitovu ๐๐!!
Hahahaha......................Kwani inawezekana humu kupata Mchumba๐Kwa nini unajiita babu kwani unataka wachumba wakukimbie jf ๐๐
Alafu ukiwa mwenyewe ndio inazidi!!!Hakika, mwenyewe kuna siku iliwahi nitokea ingawa ilikuwa hotelini.
Bahati nzuri ile Hotel wanaweka vifaa vya kutengeneza Chai pamoja na heater. Vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi.
Kutokana na maumbile yetu, nahisi Wanaume hatuwezi kulala bila kula ๐
Utajuaje kwanza badilisha avatar weka ya mkaka mzurii kisha usijiite babu utapata mchumba nimekumegea siri mkuu๐Hahahaha......................Kwani inawezekana humu kupata Mchumba๐
Nina miaka 8 humu tangu nijiunge lakini sijawahi kujua hilo Mkuu๐คช
Lol kumbe itabidi nipunguze kufakamia wanga sasa santo sana!Cha chini mazoezi na na ulaji. Kupunguza vya mafuta na wanga. Mimi nilishachoka. Babe siku akikubali niende gym kitaisha ๐
Yaniii kilivo na kimbele front sasa nguo ya kushika lazima kitokezee๐๐!Mwenzio nimekunywa maji ya moto yaliyo changanywa na ndimu mpaka nimechoka nikivaa nguo ya kubana kinachomoza ๐ฌ๐๐
Hahahaha..........thanks for the tips MjukuuUtajuaje kwanza badilisha avatar weka ya mkaka mzurii kisha usijiite babu utapata mchumba nimekumegea siri mkuu๐
Kuna siku mpaka nilimtania dear ajaribu kuchepuka nijue nikiwa na mawazo labla kitaisha alicheka mno ๐๐Yaniii kilivo na kimbele front sasa nguo ya kushika lazima kitokezee๐๐!