Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekuta bei poa sana vinauzwa[emoji23]
Nikasema ngoja nibebe

Sijui nimpe Lizzy, angalau kwake vitakuwa virefu kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mroho wa kila nguo. Nikiona nzuri na naipenda naichukua, km siwezi vaa public navaa kupigia picha, afu naiweka kwa begi, siku akitokea wa kupewa nampaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mroho wa kila nguo. Nikiona nzuri na naipenda naichukua, km siwezi vaa public navaa kupigia picha, afu naiweka kwa begi, siku akitokea wa kupewa nampaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa
Mwenyewe nikiona nguo nzuri na hainitoshi
Ila Kuna ila Kuna mtu nahisi itamtosha basi nabeba
 
jaribu uende hhvyo siku moja . Utadamshi kweli .
Kuna siku nilivaa sketi yangu Fulani
Si fupi sana , ila nikinenepa huwa inapanda sana juu
Sasa bana, nilivaa nikaona imebana sana hadi inapanda juu,,
Nikapotezea nikatoka.

Aisee🤣🤣nilitembea Kwa shida ile siku.. Safari niliona mbali wakati ni Mbezi tu stand hapo.
Kila nikipiga hatua inapanda juu
Na upepo unapiga huku nyuma mpasuo inazidi kupanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…