Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Zipo pound kadhaaa hapa, tuzichome tuu
Tuanze kuwapoza hao wenye uniform hapo mbele watasaidia kusafisha baadae.
20230420_143954.jpg
 
Unaniangusha Saint Anne si ulikuwa hapahapa [emoji847][emoji847][emoji847] na nimejua kufuta basi acha kabisa, ni vumbi tu inabaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwee [emoji3064]
Nilikuwa kwenye daladala
Nachat Kwa manati[emoji23] watu wasije chungulia id yangu maana wanatoa macho hatari.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom