Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
😂😂😂Mpaka tegeta itapendeza 🫠ðŸ«
Hela ya kulipia uharibifu iko tayari???
😂😂😂Mpaka tegeta itapendeza 🫠ðŸ«
Zipo pound kadhaaa hapa, tuzichome tuu😂😂😂
Hela ya kulipia uharibifu iko tayari???
Tuanze kuwapoza hao wenye uniform hapo mbele watasaidia kusafisha baadae.Zipo pound kadhaaa hapa, tuzichome tuu
Nipe bajeti yake nikurushie pound ngapi.. uanze wagea chap 😉😉Tuanze kuwapoza hao wenye uniform hapo mbele watasaidia kusafisha baadae.View attachment 2594050
1000 tu....Nipe bajeti yake nikurushie pound ngapi.. uanze wagea chap 😉😉
£ 1000 itatosha kweli ? Nakuongezea £ 9001000 tu....
Nasubiria nitoe kabisa.View attachment 2594065
NjoooNije pm au
Lift ya ndiga ile AudiSema kingine mdogo wangu..![]()

MweeWeee huoni mshepu wotree huo hipss sasa mi hoooii!!!![]()



Mwee

watu wasije chungulia id yangu maana wanatoa macho hatari. Wee hio trouser imekutoa balaa!! imekuchongajee mshepu!Mwee
Sasa kama mimi nina shepu na wewe utasemaje?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
hahahaha watu wanazoom sana kwa daladalaMwee
Nilikuwa kwenye daladala
Nachat Kwa manatiwatu wasije chungulia id yangu maana wanatoa macho hatari.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Asahivi kuna Land Rover 😊😊

Huwa wanalewa watotoHuogopi kulewa![]()
Wacha bwana👌🔥Asahivi kuna Land Rover 😊😊
Yaani mtu anakaza machohahahaha watu wanazoom sana kwa daladala
MweeWee hio trouser imekutoa balaa!! imekuchongajee mshepu!