Hii ni tetesi, nataka official release.taarifa tenaaa... taarifa upewe mala ngapiii sasa






Umesikia fyununuuu tuuu 😅😅😅Hii ni tetesi, nataka official release.
![]()
😂😂😂😂Kuna unachonitafuta 😀
Tamuuuuu, naomba mwenyejii.
hizo ni tetesiii tu za wajaaa.. 😅😅😅Ndyoooo ni fununu eti![]()
Ila jaman mazoea yana tabu, huyu mtoto kila match anakuja kwangu kutazama, utadhani vibanda umiza havioni,
Akaaah leo mie sitaki, nataka niwe pekee angu, nashindwa hata kukaa uchi kisa watu lol.
watoto wenginee uwiiiih.
au wanatuone wivu tuuu.. tunavyopendana na shangazi languu la ukweeeli 🤣🤣🤣Basi sawaaa,![]()
Ha hah afadhali wew Mpira mm kilamuda kinakuja kupiga hodi ukifungua anakaa dakika 10 anaaga ukiingia ndani nusu saa nyingi kanakuja Tena"hodi hodi fungua "
Hata sijamaliza kuandika kanapiga hodi huko![]()





ana umri gan huyoo?? Huyu mie yuko 4m 3, kumfukuza naona km atanichukulia vibayaa, naamua kufinyia moyonii tyuuh. Lol.Hata najua bas??au wanatuone wivu tuuu.. tunavyopendana na shangazi languu la ukweeeli![]()






Njoo ila kuna mvua 😁Tamuuuuu, naomba mwenyejii.
Mahabati kama yoteee yaniii.. ila ni fyununuuu tu..Hata najua bas??![]()
Watu weuweeeeeeee,Mahabati kama yoteee yaniii.. ila ni fyununuuu tu..







Huyu mdogo miak 3😂😂na anapiga hodi Kwa nguvu hatar utaitikia tu 😂ana umri gan huyoo?? Huyu mie yuko 4m 3, kumfukuza naona km atanichukulia vibayaa, naamua kufinyia moyonii tyuuh. Lol.
Kuna hela huko nichangamkie?Binti mwenye matege anahitajika haraka sana, Saint Anne ,ni chek kwa namba hii 234 999....78