cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Basi hongereniii waja.





Basi hongereniii waja.





Kwanini wanafanya hivyo?? Ila watu dahWanataka kuchovya chovya kila sehemu
![]()
Me waiting 😂😂🏃♀️🏃♀️Ntakupaaa dear,![]()
Bob Junior alivyo danja na nyie ndio tuna wa kill hivyo hivyo
Asanteeeee sana 😅😅😅Basi hongereniii waja.![]()
Eeeeh hivo hivo😅😅 haya ndio mambo yangu sasa, hata siku nne tunakeshaaa
Be careful watoto WA siku hizi hawakawii kupindua mezaaaIla jaman mazoea yana tabu, huyu mtoto kila match anakuja kwangu kutazama, utadhani vibanda umiza havioni,
Akaaah leo mie sitaki, nataka niwe pekee angu, nashindwa hata kukaa uchi kisa watu lol.
watoto wenginee uwiiiih.
Haswaaaaah ndo haya haya.Asanteeeee sana
Maisha ndio haya haya
?
Imepita na kuisha hiyooo mdogo wangu 😊😊Eeeeh hivo hivo
Pole babe 😂Ila jaman mazoea yana tabu, huyu mtoto kila match anakuja kwangu kutazama, utadhani vibanda umiza havioni,
Akaaah leo mie sitaki, nataka niwe pekee angu, nashindwa hata kukaa uchi kisa watu lol.
watoto wenginee uwiiiih.
Imepita na kuisha hiyooo mdogo wangu 😊😊



mtoto wa 4m 3 atanifanya nn mie?? Apindue meza gani? Acheze na watoto wenzake wa sec huko.




Ingawa wanatuonea wivu, ila sie hatujaleeee.. ndio kwanza tunakanyagaa kibatiiii speed 340kmh kwenye kona shwaaaaHaswaaaaah ndo haya haya.?
![]()
Yaan nimejilalia zangu chumbani, nasikia sebulen mlango unagongwa, kufungua n yeye, eti amekuja kuangalia mpira yaan anataka aone uchambuzi kabisaa,Pole babe![]()





daaaah yaan bas tyuuh.Hebu sema kweli?Ingawa wanatuonea wivu, ila sie hatujaleeee.. ndio kwanza tunakanyagaa kibatiiii speed 340kmh kwenye kona shwaaaa







😂😂 Kwahiyo upo nae Hapo sasa hivi?Yaan nimejilalia zangu chumbani, nasikia sebulen mlango unagongwa, kufungua n yeye, eti amekuja kuangalia mpira yaan anataka aone uchambuzi kabisaa,
daaaah yaan bas tyuuh.
Mie niko chumbani, yeye yuko sebuleni anatazama huo uchambuzi.Kwahiyo upo nae Hapo sasa hivi?






😅😅😅😅 taarifa tenaaa... taarifa upewe mala ngapiii sasaHebu sema kweli?
Sasa mbna mie cna taarifaa??