Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Nifungulie mlango ndugu kakaNjoo basi univalishe boxer dada angu mzur wa pekee [emoji182][emoji91]
Nifungulie mlango ndugu kakaNjoo basi univalishe boxer dada angu mzur wa pekee [emoji182][emoji91]
Exactly mkuu🥂
Huku tunazungumza
Nifungulie mlango ndugu kaka
Karibu sana tundumaWachoyo [emoji1] sijaona mwaliko
wapi hukoUje kule
Hahaha.........nakumbuka miaka ile ya 2004 ilikuwa kama trending ya Wadada wengi kutumia Mkorogo, ila nowadays wamehamia kwenye Chura 😜Chitenge sio[emoji1787]
Na vipodozi vya Kongo
Usisahau kumbebea
Ili akianza kutumia
Juu awe fanta
Chini anakuwa pepsi
Monday itajisumbukia. Now ni kumwagilia roho 🥂🥂
Kwanini?Hii lugha
Mimi ni mushkel
hahaha niunganishe na kaka yako , tuwe nduguSitak undugu na ww [emoji2089][emoji35][emoji35][emoji35]
ChiChewa language mnazungumza pia??Huku tunazungumza
Chiswahili na chiwemba
Chingereza wanaongea people from Lusaka
Ikimpendeza akaribie Tunduma [emoji1787]
Yes....Monday itajisumbukia. Now ni kumwagilia roho [emoji1635][emoji1635]
Mkuu unajua namna ya kuyajua org na fekero??Hahaha.........nakumbuka miaka ile ya 2004 ilikuwa kama trending ya Wadada wengi kutumia Mkorogo, ila nowadays wamehamia kwenye Chura [emoji12]
Mwanaume ukiwa na macho kama ya Babu yenu hapa hupati shida kugeuza shingo [emoji12][emoji2089][emoji2089]
Kijana makini sana huyu..👏👏👏Wanaume wenzangu kuweni makini
View attachment 2587654
AiseeWanaume wenzangu kuweni makini
View attachment 2587654
Chura fake au Chura wa Kihansi Mkuu? 😅
hahaha niunganishe na kaka yako , tuwe ndugu