hivi nimechekaa.
Kuna mtu siku hiyo anaongea kirangi, mie simjibu, sijui alidhan mie ni wa kondoa, mara naongea kingoni anabaki kushtukaa
Eti wee ni wa songea, mie namjibu ndyoo, eti anasema hii rangi ya mtume ni za kutoka kondoa, nlichekaa had machoziii.