Ila kusema kweli sipendagi kutumika kabisa. Yaani nauheshimu mwili wangu kuliko, bora niambiwe naringa ila acha nikae hata miaka 2 bila sex ila nikija kuwa na mtu, ni wa uhakika. Wasichana wadogo wanavyotumika, wanazeeka kabla ya umri nawaonea huruma sana. Life is Good...