sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Beautiful😍
Mwenyewe Huyo!Oyaaa namuona hapo aliyekuwa waziri WA mikopo those days gipson kabla ya kuwa waziri mkuu.
Poa kabisa!Nipoo Kapachino ndio nataka kuraraaa hapa eti!!
Habare za Tangu jana!
Usingizi mnywanii itakua uchovu labda!!Poa kabisa!
Unalalaje mapema yote hii mnywani?
Mapema yote hii mnataka muanze kupeana matizi mnywani.Usingizi mnywanii itakua uchovu labda!!
Safiii sana
😁🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤣!Mapema yote hii mnataka muanze kupeana matizi mnywani.
We ulikuwa unakula bureeee bila Shaka daruso bar hahaha....Mwenyewe Huyo!
Karani wa juma Aweso( waziri wa maji)
Koo lilini kaukaga na kile kispika kumnadi jamaa ila finally nikalamba u_tester nikaachana na miamala ya kule conas.
ahaaa ok!😁🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤣!
Mnywanii Nakugawaa bureee ujue 🤣!!
Uchovu wa majukumu banaa!🤭
Matizi Muhimu saaana....!Usingizi mnywanii itakua uchovu labda!!
Hahaha..Tena vi form 4 ndio vinajifanya vizoefu vya shule vina fujooo balaa!ahaaa ok!
Leo nilipita mavurunza sec kimara! Nikakuta vi form 4 vidume vimemdindia madamme
Nikakukumbuka sana
Hukuwatia ngwara kweli??ahaaa ok!
Leo nilipita mavurunza sec kimara! Nikakuta vi form 4 vidume vimemdindia madamme
Nikakukumbuka sana
Yule mwamba sijui alitoboaje upepo alikuwa Hana kabisa.We ulikuwa unakula bureeee bila Shaka daruso bar hahaha....
Au nyinyi ndio mlimsapoti jamaa alafu mkaja
Mchagua nickson Yule wa sheria??
Mimi nigawe Kwa Bantu LadyHakii na Kapachino Nawagawaaa nyieee!