Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,947
- 177,163
Weee mi mkubwa mkuu ni shangazi yenu humu!!!Ni Mapema sana kwa msichana mdogo kama wewe kulala muda ule 🤣🤣🤣
Waalaykum Salaam
Bila shaka mko poa huko!!
Weee mi mkubwa mkuu ni shangazi yenu humu!!!Ni Mapema sana kwa msichana mdogo kama wewe kulala muda ule 🤣🤣🤣
Waalaykum Salaam
Sijambo marahabaaaa!!Moningeeeee, hujambo mkuu
Tuko poa tunashukuru,Weee mi mkubwa mkuu ni shangazi yenu humu!!!
Bila shaka mko poa huko!!
Sasa ndio nini kutoa neno RA katika sentensi yako🤣🤣Sijambo marahabaaaa!!
Weee Jichanganye mkuu usiseme sijakualert😁!Tuko poa tunashukuru,
Hakuna dadaake baba ambaye hana ndala sijaona na sitoona... Shangazi gani una viatu vya mchuchumio😁😁
Wenzio Tuko kwenye mfungo mkuu tusamehe kidogo!😊!!Sasa ndio nini kutoa neno RA katika sentensi yako🤣🤣
Astaghfirullah minkul dhambi😔😔Wenzio Tuko kwenye mfungo mkuu tusamehe kidogo!😊!!
🤣🤣🤣🤣!Astaghfirullah minkul dhambi😔😔
Muone🤣🤣🤣🤣!
💃💪Muone
Kwakweli walimu hatuzeeki asee!!
😂😂Yaani acha tu muda wa kusahihisha unacheka hadi basiKwa kweli walimu hawazeeki kabisa.
Maisha yao ni mikiki Kila Kona
Ona kama hiyo karatasi
Kuna kipindi nilikuwa najibu paper huku kichwani nawaza Mwalimu akisoma nilichoandika sijui ataangua kicheko Cha namna gani.
Hellow granpaahhh!!
Oyaaa namuona hapo aliyekuwa waziri WA mikopo those days gipson kabla ya kuwa waziri mkuu.
Hahaha mvua hii ni takulia ndani...Nimerudi leo nikaanza kupalilia. Naandaa sehemu ya kupanda matunda shambani, mvua hizi ndiyo za kupanda vitu...View attachment 2563034
Huyu aliyeandika hapa ni kapachino au???Weee mwanamkeee aririririiirihHakiii kuna watu wanakojolea pazuri nyieee
We mkareee kuanzia utosini mpaka unyayoniiii
![]()