Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Mzee wa kupambania Sijui kaenda kuswampia wapi tena akikosa hii basii wee mzee wa kupambania mmeambiwa na mbantu One for the road hukuuuu🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️Ninavyosubiri Sasa😂
Mzee wa kupambania Sijui kaenda kuswampia wapi tena akikosa hii basii wee mzee wa kupambania mmeambiwa na mbantu One for the road hukuuuu🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️Ninavyosubiri Sasa😂
Eti wifi yangu kipenzi ameniita
Mmeambiwa hapa ni wodi ya wazazi
Hapa ni hospital
Yaani Nimecheka.
Eti wewe unanitishia dawati,
Kwahiyo huko primary secondary nilikuwa nakalia nn pumbavu wewe![]()
kukopesheka😂😂😂🤣🤣Haya mambo yangekuwa yanakopesheka ningeenda kukopa kwako Antonnia au @Bantu Lady nikae nanyi hata siku3
Hawa ndo wanasababishia watu kesiNimecheka sana eti auawaa
Ila Nembo ni snichmuda wote anataka pesaaa






Simu iliisha charge next time atawahi tena. Uko poa lakini mamii. Nimefurahia Yanga, hawajatuangusha kwa kweli.kukopesheka😂😂😂🤣🤣
Niko poa sana mamito hakika saii naenda rara vizureeee kabisa!! Yanga juuu💃💃Simu iliisha charge next time atawahi tena. Uko poa lakini mamii. Nimefurahia Yanga, hawajatuangusha kwa kweli.
Hawa ndo wanasababishia watu kesi
Mtu auwa mjamzito
Ntaangalia marudio hiki kipande
Eeh Mungu wangu!! Usingizi umepaa dakika sifuri tu!! Dooh hakika Mungu anajua kupendelea!!Haya usiku mwema Jamani..esp kwa wana Yanga wenzangu😍😘
View attachment 2558583
Kuna kiumbe huwa analala kabisa akiwa na wewe?? Asiee mpaka kunakucha 😍Haya usiku mwema Jamani..esp kwa wana Yanga wenzangu😍😘
View attachment 2558583
😂😂😂😂Kuna kiumbe huwa analala kabisa akiwa na wewe?? Asiee mpaka kunakucha 😍
Weeh!!sio kweli kwangu mie hapalaliki , weeh nilale uko pembeni ili nigundue nini usingizini 😀😂😂😂😂
Hustle kwanini asilale Jamani
😂😂😂😂😂Weeh!!sio kweli kwangu mie hapalaliki , weeh nilale uko pembeni ili nigundue nini usingizini 😀
Labda sijui!!, Ila kuna baadhi ya vitu huwa havinilazagi hata nijaribu , AKILI inaniambia acha ujinga amka kuna kesi uko nayo 😀😂😂😂😂😂
Nimecheka kwa sauti khaaa...utalala tu labda Kama huna usingizi
Dada una balaa




Yeah ..napambana mdogo wangu .Dada una balaa
Sasahivi umepungua kidogo ndio umekuwa
Tunaoumia ni sisi vimbaombao![]()