Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana vituko sana
Eti wifi yangu kipenzi ameniita
Mmeambiwa hapa ni wodi ya wazazi
Hapa ni hospital [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani Nimecheka.


Eti wewe unanitishia dawati,
Kwahiyo huko primary secondary nilikuwa nakalia nn pumbavu wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapana mnaiacha hivyohivyo. Mtu akiquote tu sitaweza kuifuta [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jamani naona aibu kuweka picha [emoji2088][emoji2088][emoji91][emoji91][emoji2088]
Nimeshakuelewa

Usiogope
Tena picha kali tembea kifua mbele
Shape kama lote[emoji7]
Una undugu na Mahondaw na Yna?
Siyo Kwa mishepu hiyo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom