Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ukirudi utaniletea tu biaHaya 10k tuma namba PM mdogo wangu, ningekuwepo huko ningekupa makazi ulinde
Naisubiri
Ukirudi utaniletea tu biaHaya 10k tuma namba PM mdogo wangu, ningekuwepo huko ningekupa makazi ulinde
Figaaafigaaa ❤️miaka ya 2013 siyo 90 imeonyesha tarehe.TBT,
Miaka ya 90
kugeuka ni kawaida , ukilala hvyo huoti vibayaHuwa nalalia ubavu ila sijui hata niwa nageukaje usiku![]()
Nimezoom mpaka basi hapo kifuaniTBT,
Miaka ya 90
Mgonjwa salaam weweUsiku mwema wapendwa!!![]()
Huwa nashtushwa na ndoto mbayakugeuka ni kawaida , ukilala hvyo huoti vibaya
Ni miaka ya 90 hiyoFigaaafigaaamiaka ya 2013 siyo 90 imeonyesha tarehe.
sipend kuota ndoto mbaya , ndo maana nimezoea ubavu . Vipi umeamkaje ?Huwa nashtushwa na ndoto mbaya
Utapofuka machoNimezoom mpaka basi hapo kifuani

Katumishi kamekuwa kanywa mvinyo kupindukia!Hizo Heineken si kama Chai tu
Nataka vitu vizito kama Four cousins 😝😂
Kucha nimeshazitoa😁,
Sijui hata bei yake.
Mimi nikichoka sana najikuta nimegeukasipend kuota ndoto mbaya , ndo maana nimezoea ubavu . Vipi umeamkaje ?
Huoni jina langu tu ni pombeKatumishi kamekuwa kanywa mvinyo kupindukia!
Sawa ila four cousin sio kitu nzito piga cocktails ama Hennessy au lambalamba absolute vodka..Huoni jina langu tu ni pombe
Hahahà... ahsanteZayn, Al Hamdu Lillah![]()
ushazoea mwenyewe kulala hivyo . Nashtuka sana usiku nimezoea kulala peke yangu , napata shida nikilala na mtu , mara akorome au kuongea na simu . SijuiMimi nikichoka sana najikuta nimegeuka
Pona yangu labda nilalie ubavu ila Kwa tumbo
Sasa huwa nachoka sana kulalia tumbo.
Mungu ni mwema, niko poa.
Jana mida ile usiku nilianza kushona Shona doormat
Ila fundi niliyempa anishonee mfuko kwa pembeni ni kiazi sana.
Itabidi niushone tena na mkono maana unafumuka.
eh unaweza mwenyewe usiku ule , ukaanza kushonaMimi nikichoka sana najikuta nimegeuka
Pona yangu labda nilalie ubavu ila Kwa tumbo
Sasa huwa nachoka sana kulalia tumbo.
Mungu ni mwema, niko poa.
Jana mida ile usiku nilianza kushona Shona doormat
Ila fundi niliyempa anishonee mfuko kwa pembeni ni kiazi sana.
Itabidi niushone tena na mkono maana unafumuka.
Sponge sio hizo bana wewe hizo zinataka kutoboa hako ka blauzUtapofuka macho
Imewekwa sponge hiyo
Wanawake Wana mbinu