Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Samahani mkuu nilikumbuka tu maramoja
Wasikutishe hata kidogo
JamiiForums-831896559.jpg
 
ZABURI 94:17-19

¹⁷ Kama Bwana asingalikuwa msaada wangu, Nafsi yangu kwa upesi ingalikaa penye kimya.

¹⁸ Niliposema, Mguu wangu unateleza; Ee Bwana, fadhili zako zilinitegemeza.

¹⁹ Katika wingi wa mawazo ya moyoni mwangu, Faraja zako zaifurahisha roho yangu.


HILO NDILO NENO LA MUNGU
 
Back
Top Bottom