Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli wavumilie
Ila mm napenda kujua why watu wanabadii Id's? Mimi nilibadili mara moja tuu tena baad ya Id yangu kufanana na member humu yy wa long tym mimi nilivyokua new nikawa nimeandika hyo Id sema yy alitumia k mimi c..but nikaona bora nitafute nyingine tusichanganye mafaili...ww kwanini umebadili?
 
Ila mm napenda kujua why watu wanabadii Id's? Mimi nilibadili mara moja tuu tena baad ya Id yangu kufanana na member humu yy wa long tym mimi nilivyokua new nikawa nimeandika hyo Id sema yy alitumia k mimi c..but nikaona bora nitafute nyingine tusichanganye mafaili...ww kwanini umebadili?
Nalipenda hili jina sana nilitaka kumpa Mdogowangu wakampa lingine nafarjika nikilitumia
 
Ila mm napenda kujua why watu wanabadii Id's? Mimi nilibadili mara moja tuu tena baad ya Id yangu kufanana na member humu yy wa long tym mimi nilivyokua new nikawa nimeandika hyo Id sema yy alitumia k mimi c..but nikaona bora nitafute nyingine tusichanganye mafaili...ww kwanini umebadili?
Mimi naona ,lile jina la kwanza kabisa la mtu,ambalo anajiita kipindi anajiunga
Ndio huwa perfect na hupendeza.

Akishaanza tu kubadilisha badilisha majina yanakuwa hayapendezi.
Ni mtazamo wangu,na si Sheria
 
Mimi naona ,lile jina la kwanza kabisa la mtu,ambalo anajiita kipindi anajiunga
Ndio huwa perfect na hupendeza.

Akishaanza tu kubadilisha badilisha majina yanakuwa hayapendezi.
Ni mtazamo wangu,na si Sheria
Inategemea na sababu ila ni kweli haipendezi inatupa sana tabuu...
Sasa mm na ile Id zilizofanana duuu jinsi alivyo na mm tofauti kabisa so nikachange..
 
Inategemea na sababu ila ni kweli haipendezi inatupa sana tabuu...
Sasa mm na ile Id zilizofanana duuu jinsi alivyo na mm tofauti kabisa so nikachange..
Kwanza wakati wa kujiunga
Ukitaka kuweka jina ambalo tayari lina exist,system inagoma.


Kwa kweli mtu akibadili anaharibu jina
Pia anajipoteza,watu washazoea kumuita hivi
Unachange majina hadi tunachoka tumuitaje.
 
Kwanza wakati wa kujiunga
Ukitaka kuweka jina ambalo tayari lina exist,system inagoma.


Kwa kweli mtu akibadili anaharibu jina
Pia anajipoteza,watu washazoea kumuita hivi
Unachange majina hadi tunachoka tumuitaje.
Lilifanana herufi nimesema yy aliandika K mimi C ila linasomeka sawa ..kwanza ni long tym hata watu walikua hawajalizoea...
 
Edo
IMG_20230314_090701.jpg
 
Lilifanana herufi nimesema yy aliandika K mimi C ila linasomeka sawa ..kwanza ni long tym hata watu walikua hawajalizoea...
Oh hapo kweli umuhimu wa kubadilisha unaonekana

Huyo member atakuwa si active eh?
Toka nijiunge Kalpana nayemjua ni wewe tu
Huyo hata kuona id yake inakatisha sijawahi
 
Oh hapo kweli umuhimu wa kubadilisha unaonekana

Huyo member atakuwa si active eh?
Toka nijiunge Kalpana nayemjua ni wewe tu
Huyo Calpana hata kuona id yake inakatisha sijawahi
NNitakufafanulia kesho 😆😆
Hakujawahi kuwa na calpana..
 
Back
Top Bottom