Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hujaona nipo chini ya seven up
Saba ipo juu😂

Utaweka picha au niendelee?
Nyie ni makubwa jinga ya mwezi wote huu.

Nimekuona na "saba juu" yako, 😂

Ndo nini sasa kutukazia vile afu mkaenda kuwapa wanaoshika nafasi ya mkiani?

Weka yako basi niweke pia, ni juzi tu tumetoka kaudhimisha siku ya mwanamke duniani, nimeamua kukupa kipaumbele Saint Anne 😊
 
nilikuwa naonewa sana zamani . Nikajipiza mtu hata nionea tena , too bad nimekuwa affected ukinikosea , naachana na wewe mazima .
Isiwe sana sasa Tinsley ,

Kuna wengine hukosea kwa bahati mbaya na bado wanakuwa na hitaji la kuendelea kuwa karibu na wewe, kuwapa nafasi baada ya kutafakari inaweza kuwa uamuzi mzuri, badala ya kuachana nao mazima.

Kwa wale wanaokuonea, ninakuunga mkono, kuachana nao mazima.
 
Nimekuona na "saba juu" yako, 😂

Ndo nini sasa kutukazia vile afu mkaenda kuwapa wanaoshika nafasi ya mkiani?

Weka yako basi niweke pia, ni juzi tu tumetoka kaudhimisha siku ya mwanamke duniani, nimeamua kukupa kipaumbele Saint Anne 😊
Wewe endelea kubania picha yako
Mimi naendelea nilipoishia

Mechi ya Juzi siyo shida zangu 😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230306-074540.jpg
    Screenshot_20230306-074540.jpg
    53 KB · Views: 5
Isiwe sana sasa Tinsley ,

Kuna wengine hukosea kwa bahati mbaya na bado wanakuwa na hitaji la kuendelea kuwa karibu na wewe, kuwapa nafasi baada ya kutafakari inaweza kuwa uamuzi mzuri, badala ya kuachana nao mazima.

Kwa wale wanaokuonea, ninakuunga mkono, kuachana nao mazima.
upo sahihi , mimi nachofanya siwi karibu yake tena , usiniumize tena .. Kama kosa la kawaida ts okay
 
Uuwawe tu kama ndo ivo 😂😂😂alisema kapeace
Sasa wee unataka kidume anakuoelekea moto dakika 47...mbususu sii itawaka moto na kufura🤣🤣🤣🤣🤣

Mie tena mzuri kabisa nakuruhusu uende ata kwa ex wako ukapige show ya bby come back
 
Sasa wee unataka kidume anakuoelekea moto dakika 47...mbususu sii itawaka moto na kufura🤣🤣🤣🤣🤣

Mie tena mzuri kabisa nakuruhusu uende ata kwa ex wako ukapige show ya bby come back
😂😂
 
Back
Top Bottom