National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Mar 14, 2023 #316,781 Tayukwa said: Mandhari kabisa yanaonesha kuwa wewe si msindikizaji wa maendeleo ila ni mdau wa maendeleo Click to expand... Mie muhuni tu muulize aunt wangu kipendi Antonnia π π π
Tayukwa said: Mandhari kabisa yanaonesha kuwa wewe si msindikizaji wa maendeleo ila ni mdau wa maendeleo Click to expand... Mie muhuni tu muulize aunt wangu kipendi Antonnia π π π
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 35,667 Reaction score 70,303 Mar 14, 2023 #316,782 Tinsley said: yeah sahihi sipendi mie maneno , sitakagi watu waniudhi . Maana sio mchokozi mie Click to expand... Hata ukiwa sio mchokozi utaudhiwa tuu.... Ndivyo maisha yalivyo
Tinsley said: yeah sahihi sipendi mie maneno , sitakagi watu waniudhi . Maana sio mchokozi mie Click to expand... Hata ukiwa sio mchokozi utaudhiwa tuu.... Ndivyo maisha yalivyo
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Mar 14, 2023 #316,783 Saint Anne said: Nakuachaje Kwa mfano ! Ukitaka nikuache niwekee selfie yako. Vinginevyo naendelea Click to expand... Mbeya sister Habari yako Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Saint Anne said: Nakuachaje Kwa mfano ! Ukitaka nikuache niwekee selfie yako. Vinginevyo naendelea Click to expand... Mbeya sister Habari yako Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Tayukwa JF-Expert Member Joined Dec 11, 2014 Posts 2,180 Reaction score 4,422 Mar 14, 2023 #316,784 National Anthem said: Mie muhuni tu muulize aunt wangu kipendi Antonnia π π π Click to expand... Yaani bora hata usingemuita, yaani huyo ndio kaniambia kama nna dogo yeyote anahangaika town nikutafute tu mzungu wa roho
National Anthem said: Mie muhuni tu muulize aunt wangu kipendi Antonnia π π π Click to expand... Yaani bora hata usingemuita, yaani huyo ndio kaniambia kama nna dogo yeyote anahangaika town nikutafute tu mzungu wa roho
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Mar 14, 2023 #316,785 Mac Alpho said: Huyu ni wewe hata kwenye maisha mengine huko uraiani? Click to expand... huko hvyo pia sina habari na watu , mpaka nikuzoee ndo utanijua
Mac Alpho said: Huyu ni wewe hata kwenye maisha mengine huko uraiani? Click to expand... huko hvyo pia sina habari na watu , mpaka nikuzoee ndo utanijua
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Mar 14, 2023 #316,786 Valentina said: sina bando Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app Click to expand... hahahaha
Valentina said: sina bando Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app Click to expand... hahahaha
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,332 Mar 14, 2023 #316,787 National Anthem said: Mie muhuni tu muulize aunt wangu kipendi Antonnia π π π Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£ nimechekaje mjombaa Eti muhuni tu haha
National Anthem said: Mie muhuni tu muulize aunt wangu kipendi Antonnia π π π Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£ nimechekaje mjombaa Eti muhuni tu haha
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Mar 14, 2023 #316,788 Tinsley said: huko hvyo pia sina habari na watu , mpaka nikuzoee ndo utanijua Click to expand... duh
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 35,667 Reaction score 70,303 Mar 14, 2023 #316,789 National Anthem said: Hii hapo aunt π π π View attachment 2550886 Antonnia Bantu Lady Kalpana Click to expand... Nakuona braza wetu wa ukweli...umefuga na ka brash ka mkushtua shtua wifi yetu mgongoni.. π π
National Anthem said: Hii hapo aunt π π π View attachment 2550886 Antonnia Bantu Lady Kalpana Click to expand... Nakuona braza wetu wa ukweli...umefuga na ka brash ka mkushtua shtua wifi yetu mgongoni.. π π
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,332 Mar 14, 2023 #316,790 Tayukwa said: Yaani bora hata usingemuita, yaani huyo ndio kaniambia kama nna dogo yeyote anahangaika town nikutafute tu mzungu wa roho Click to expand... Kabisa mkuu mjomba National Anthem mtu mkubwa sana mjini Wee mcheki tu umepata konnekshen mbona π
Tayukwa said: Yaani bora hata usingemuita, yaani huyo ndio kaniambia kama nna dogo yeyote anahangaika town nikutafute tu mzungu wa roho Click to expand... Kabisa mkuu mjomba National Anthem mtu mkubwa sana mjini Wee mcheki tu umepata konnekshen mbona π
Mac Alpho JF-Expert Member Joined Aug 5, 2019 Posts 13,999 Reaction score 27,975 Mar 14, 2023 #316,791 Saint Anne said: Nakuachaje Kwa mfano ! Ukitaka nikuache niwekee selfie yako. Vinginevyo naendeleaπ Click to expand... Ahahaha π Usinikazie hivyo bwana, ya Klopp na Ten Hag hatutakiwi kuyazingatia sana. Kwanza inakuwaje hausahau hata baada ya wiki mbili kupita?? Selfie ningefurahi sana kama ingeanza yako kisha nifuatie, si unajua Ladies first?
Saint Anne said: Nakuachaje Kwa mfano ! Ukitaka nikuache niwekee selfie yako. Vinginevyo naendeleaπ Click to expand... Ahahaha π Usinikazie hivyo bwana, ya Klopp na Ten Hag hatutakiwi kuyazingatia sana. Kwanza inakuwaje hausahau hata baada ya wiki mbili kupita?? Selfie ningefurahi sana kama ingeanza yako kisha nifuatie, si unajua Ladies first?
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Mar 14, 2023 #316,792 Kalpana said: Hata ukiwa sio mchokozi utaudhiwa tuu.... Ndivyo maisha yalivyo Click to expand... yeah kweli hadi unipate sijui wapi utanichokozea wapi . Nishaachana na ushosti , umbea muda sana
Kalpana said: Hata ukiwa sio mchokozi utaudhiwa tuu.... Ndivyo maisha yalivyo Click to expand... yeah kweli hadi unipate sijui wapi utanichokozea wapi . Nishaachana na ushosti , umbea muda sana
V vangward Member Joined Mar 13, 2023 Posts 81 Reaction score 91 Mar 14, 2023 #316,793 Kalpana said: Hata ukiwa sio mchokozi utaudhiwa tuu.... Ndivyo maisha yalivyo Click to expand... hellow?
Kalpana said: Hata ukiwa sio mchokozi utaudhiwa tuu.... Ndivyo maisha yalivyo Click to expand... hellow?
Mac Alpho JF-Expert Member Joined Aug 5, 2019 Posts 13,999 Reaction score 27,975 Mar 14, 2023 #316,794 Tinsley said: huko hvyo pia sina habari na watu , mpaka nikuzoee ndo utanijua Click to expand... Hii haikufanyi uonewe na wanadunia?
Tinsley said: huko hvyo pia sina habari na watu , mpaka nikuzoee ndo utanijua Click to expand... Hii haikufanyi uonewe na wanadunia?
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Mar 14, 2023 #316,795 Kalpana said: Nakuona braza wetu wa ukweli...umefuga na ka brash ka mkushtua shtua wifi yetu mgongoni.. π π Click to expand... Ka blash muhimu sanaaaa π€£π€£π€£π€£
Kalpana said: Nakuona braza wetu wa ukweli...umefuga na ka brash ka mkushtua shtua wifi yetu mgongoni.. π π Click to expand... Ka blash muhimu sanaaaa π€£π€£π€£π€£
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Mar 14, 2023 #316,796 mtu chake said: duh Click to expand... kulikoni Mkuu
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,332 Mar 14, 2023 #316,797 Kalpana said: Nakuona braza wetu wa ukweli...umefuga na ka brash ka mkushtua shtua wifi yetu mgongoni.. π π Click to expand... National Anthem Aliapa hanyoi hadi mapacha wazaliwe sis he's expecting twins Mungu awe nao IJN!
Kalpana said: Nakuona braza wetu wa ukweli...umefuga na ka brash ka mkushtua shtua wifi yetu mgongoni.. π π Click to expand... National Anthem Aliapa hanyoi hadi mapacha wazaliwe sis he's expecting twins Mungu awe nao IJN!
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Mar 14, 2023 #316,798 Tayukwa said: Yaani bora hata usingemuita, yaani huyo ndio kaniambia kama nna dogo yeyote anahangaika town nikutafute tu mzungu wa roho Click to expand... π«£π«£π«£π«£ Antonnia ananimanya vizuri muhuni wake π€£π€£
Tayukwa said: Yaani bora hata usingemuita, yaani huyo ndio kaniambia kama nna dogo yeyote anahangaika town nikutafute tu mzungu wa roho Click to expand... π«£π«£π«£π«£ Antonnia ananimanya vizuri muhuni wake π€£π€£
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Mar 14, 2023 #316,799 Mac Alpho said: Ahahaha π Usinikazie hivyo bwana, ya Klopp na Ten Hag hatutakiwi kuyazingatia sana. Kwanza inakuwaje hausahau hata baada ya wiki mbili kupita?? Selfie ningefurahi sana kama ingeanza yako kisha nifuatie, si unajua Ladies first? Click to expand... Hujaona nipo chini ya seven up Saba ipo juuπ Utaweka picha au niendelee? Nyie ni makubwa jinga ya mwezi wote huu.
Mac Alpho said: Ahahaha π Usinikazie hivyo bwana, ya Klopp na Ten Hag hatutakiwi kuyazingatia sana. Kwanza inakuwaje hausahau hata baada ya wiki mbili kupita?? Selfie ningefurahi sana kama ingeanza yako kisha nifuatie, si unajua Ladies first? Click to expand... Hujaona nipo chini ya seven up Saba ipo juuπ Utaweka picha au niendelee? Nyie ni makubwa jinga ya mwezi wote huu.
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Mar 14, 2023 #316,800 Mac Alpho said: Hii haikufanyi uonewe na wanadunia? Click to expand... nilikuwa naonewa sana zamani . Nikajipiza mtu hata nionea tena , too bad nimekuwa affected ukinikosea , naachana na wewe mazima .
Mac Alpho said: Hii haikufanyi uonewe na wanadunia? Click to expand... nilikuwa naonewa sana zamani . Nikajipiza mtu hata nionea tena , too bad nimekuwa affected ukinikosea , naachana na wewe mazima .