Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Mjombaaaa🙌🙌😂😂😂😂
🎶Uyuuuuyuuuuyaaaaa🎼
Achukuuuchaaaaa😂😂😂😂🎼
Mjombaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
Mjombaaaa🙌🙌😂😂😂😂
TaratibuMzuri sana mamii na huo mwili uwiii. Kumbe nawe umepaelewa pale pa Tah tah tah aacha kabisa. Sasa pale wakati unacheza, unapashukia chini yaani ni Tah tah tah![]()
Wa g.p.a ya 1.7 ndio zetu hiziii 🤣🤣🤣🤣Alipoamkia mjomba leo hakii anajua mwenyeweee 😁😁😂
Hakiii Nimecheka hapo kwaWa g.p.a ya 1.7 ndio zetu hiziii 🤣🤣🤣🤣
OYoooo 🔥🔥🔥Mjombaaaa🙌🙌😂😂😂😂
🎶Uyuuuuyuuuuyaaaaa🎼
Achukuuuchaaaaa😂😂😂😂🎼
Mjombaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
Kama pale kijuweni!Majaribu hayooo 🤣🤣🤣🤣 mie nimekaa chaka safi kabisaaa ..
Uhuru Uhuruuuuu umeturudisha enzi. DJ apitishwe tu. Naweka oder mapema, panapo uzima utakuwa my Dj kwa my Birthday June... Ankol 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Au nipeleke Cv 🤣🤣🤣Kama pale kijuweni!
Ovyo Sana hakunaga Djs pale
Ankol hii watoto wenye vifundo, ndiyo nyimbo yao sasa. Unyama mwingi sana humu.
Kwema sana humuu mkuu karibu tuvurudikee na National Anthem the Dj on the line 1 and 2 ✌️✌️✌️! Anashusha vitruuu noumaaa sanaa
Ni full kubambia!
EeehMzuri sana mamii na huo mwili uwiii. Kumbe nawe umepaelewa pale pa Tah tah tah aacha kabisa. Sasa pale wakati unacheza, unapashukia chini yaani ni Tah tah tah![]()
Mimi ni straight Wigee kuwa na amani. Sikoboi wala kusaga jamani. Sema mtoto anavutia acha kabisa. Najua nawewe huko kumetuna 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Mjazee tu Wigee😂😂😂!Mimi ni straight Wigee kuwa na amani. Sikoboi wala kusaga jamani. Sema mtoto anavutia acha kabisa. Najua nawewe huko kumetuna 🤣🤣🤣🤣🤣
Weee mjumbe huo mkono 😍😍😍!Tunamalizia jioni na kamirindaView attachment 2547708
Upo tunaburudika na ngoma kalikali tu Amapiano ndani kwa sana karibu. DJ ni Ankol National Anthem
Huyo Dj sasa🤓🤓🤓🙌🙌🤝Kwema sana humuu mkuu karibu tuvurudikee na National Anthem the Dj on the line 1 and 2 ✌️✌️✌️! Anashusha vitruuu noumaaa sanaa
🤣🤣🤣🤣 Deeejaayy noumaaa sanaa huyuuuu😁💃Huyo Dj sasa🤓🤓🤓🙌🙌🤝