Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Una hamu nikuchaambe
Nikikuchamba utazimia

Cha kujishughulisha kwako mie sikioniView attachment 2546815


Leila namkubali ninouuuuumaaaa!!
Kuna huu wimbo wake ; Fanya yako👌


🎼🎶Kwa mungu utaenda kuulizwaaa
Umeutumia vipi wakatiiii
Sijui nini utajielezaa
Na hizo fitina zako etii
unanishuhulikiaa miyeeee Katika mapenzi yanguuu!
Unanisumbua miyeee Kwenye business zanguuu
Inokufanya uumieee Ni hii heshima yanguuu!
Ujue nilipo mieee hunifikiii mwenzanguuuu

Basiii fanya yakooo
Usipoteze muda wakooo🎼🎶

kiduku mpapaso tulia hapohapoooo nakujaaa hio ni intro tu!!

Hapo upate mwanaume anayejua kwenda na moves zako anakubambia mnaenda nae hadi chininarudi juu ukiipeleka kushoto yumooo kuliaaa hakuachii yanii!
 
Leila namkubali ninouuuuumaaaa!!
Kuna huu wimbo wake ; Fanya yako👌


🎼🎶Kwa mungu utaenda kuulizwaaa
Umeutumia vipi wakatiiii
Sijui nini utajielezaa
Na hizo fitina zako etii
unanishuhulikiaa miyeeee Katika mapenzi yanguuu!
Unanisumbua miyeee Kwenye business zanguuu
Inokufanya uumieee Ni hii heshima yanguuu!
Ujue nilipo mieee hunifikiii mwenzanguuuu

Basiii fanya yakooo
Usipoteze muda wakooo🎼🎶

kiduku mpapaso tulia hapohapoooo nakujaaa hio ni intro tu!!

Hapo upate mwanaume anayejua kwenda na beats zako anakubambia mnaenda nae hadi chininarudi juu ukiipeleka kushoto yumooo kuliaaa hakuachii yanii!
Una uno na trako hilo na mafta mafta kama yoteee kwenye mapaja yaani🤣🤣🤣 kwanza ukiwa unaenda kusex uno kama hilo lazima njiani ukojoe goli mbili kabla haujaanza mechi yaani, na njiani unatembea huku unakenua mimeno tu yaani🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🙌🙌
 
Leila namkubali ninouuuuumaaaa!!
Kuna huu wimbo wake ; Fanya yako


Kwa mungu utaenda kuulizwaaa
Umeutumia vipi wakatiiii
Sijui nini utajielezaa
Na hizo fitina zako etii
unanishuhulikiaa miyeeee Katika mapenzi yanguuu!
Unanisumbua miyeee Kwenye business zanguuu
Inokufanya uumieee Ni hii heshima yanguuu!
Ujue nilipo mieee hunifikiii mwenzanguuuu

Basiii fanya yakooo
Usipoteze muda wakooo

kiduku mpapaso tulia hapohapoooo nakujaaa hio ni intro tu!!

Hapo upate mwanaume anayejua kwenda na moves zako anakubambia mnaenda nae hadi chininarudi juu ukiipeleka kushoto yumooo kuliaaa hakuachii yanii!
Hapo unazungusha kiuno kama feni ya passo ndugu mjumbe
 
20230312_114229.jpg
 
Leila namkubali ninouuuuumaaaa!!
Kuna huu wimbo wake ; Fanya yako👌


🎼🎶Kwa mungu utaenda kuulizwaaa
Umeutumia vipi wakatiiii
Sijui nini utajielezaa
Na hizo fitina zako etii
unanishuhulikiaa miyeeee Katika mapenzi yanguuu!
Unanisumbua miyeee Kwenye business zanguuu
Inokufanya uumieee Ni hii heshima yanguuu!
Ujue nilipo mieee hunifikiii mwenzanguuuu

Basiii fanya yakooo
Usipoteze muda wakooo🎼🎶

kiduku mpapaso tulia hapohapoooo nakujaaa hio ni intro tu!!

Hapo upate mwanaume anayejua kwenda na moves zako anakubambia mnaenda nae hadi chininarudi juu ukiipeleka kushoto yumooo kuliaaa hakuachii yanii!
🎶Nipo na yangu maisha kweli siku hazigandi Kwa kazi najishughulisha
Maneno manenno sipendi
Michongo nafanikisha jijini hakunishidi
Na penz nalidumisha
Raha sio Kila weekend
Na sweet nimemgandisha😍,
Kwingine kokote haendi 🎶🎼

Aya selebuka huko 😀
 
🎼🎶Wataakaaa jifananishhaaa
Hatulinganiii upeeoo Mola katutofautishaaa kwa hadhii hata kwa cheooo
Basi acha kunitishaaa!
Nimesitirika mweinziooo
Huwezi niadhirishaaa
Buree kuniendea mbiiooo

Ntakutambia ntakutambia furahishaaa
Ujuee ujuee jana si leoo!
Wahlahi wahlahi wanichekeshaaa Hebu kubalii kubalii matokeooo!

🎼Mja hata ukinihukumu huwezi kunitia motonii wala peponii!
Usijipe majukumu usipoteze wakati yangu mie huyaweziiii
Fanya yakoo yangu huyaweziiii Fanya yako hata kwa mbelekooo!🎼🎼

kiduku mpapaso upoooo???
 
🎶Michongooooo nafanikishaaaa
Jijiniii hakunishindiiiii
Na penzi nalidumishaaa Raha sio kila weekeend🎶
Na sweettt nimemgandishaa
Pengine popote haendiiii
Pole sasaa sasa umekwisha
Huwekeki hata boondiii🎼
Nautumiaa ujanaaaa
Basi fanya fanya yakooo
Hadi mifupa natafunaaa
Yangu huyawezi hata kwa mbelekooo👌
 
Back
Top Bottom