Tayukwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 2,180
- 4,422
Bantu Lady huyu Antonnia hajawahi nifelisha
Bantu Lady huyu Antonnia hajawahi nifelisha
Safari hii kakuzamisha. Hutolala usiku, natisha fikiria moja ile halafu inenepe ππππππBantu Lady huyu Antonnia hajawahi nifelisha
Kibichwaπ€£π€£π€£π€£
Eendiwoooooooo ndiwooi mkuu sijawahi kuangusha kabesaaaπ;Bantu Lady huyu Antonnia hajawahi nifelisha
Nitakupeleka Congo unajua kuna M23 huko, π π π π π π nakugawa kabisa. Wewe ndiyo Malkia mwenyewe, kizuri kisifiwe kwa roho moja. Uko vizuri mrembo. AntonniaπππEti mojaaa weeeee wenye mojaa huwaoniπ€π€??nao wasemejeeeππππ! Mtrotro mashallah uliumbwa ukaumbikaa!! Sio Mie hapaa sura ka bi kidude π€£π€£π€£π€£π€£!!
Kibichwaaaaaaaaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Mara hii weekend imefika jamani πππ nimekuwa mvivu kuselfika sijui kwanini.Jamani Bantu Lady simu yangu haina chaji fanya manuva hayo ili isile kwangu kwa kukosa ku blesiwa
Si tumekubaliana leo si JumapiliMara hii weekend imefika jamani πππ nimekuwa mvivu kuselfika sijui kwanini.
selfika kdgMara hii weekend imefika jamani πππ nimekuwa mvivu kuselfika sijui kwanini.
Fanya kama kuchomoza kwa jua tu yaani mara moja kwa sikuMara hii weekend imefika jamani πππ nimekuwa mvivu kuselfika sijui kwanini.
Nijazeee nijazeee tyuuuu wee nijazee mamaaaa ππππ!!Nitakupeleka Congo unajua kuna M23 huko, π π π π π π nakugawa kabisa. Wewe ndiyo Malkia mwenyewe, kizuri kisifiwe kwa roho moja. Uko vizuri mrembo. Antonnia
Nakumbusha tu mmesema wenyewe siku hizi Ban zipo za kutosha kama njuguNimecheka hapa nilipo acha tu. Sina mbavu kibichwa ana hekaheka si za nchi hii atakuwa ana sonona moyoni masikini. Bi kiduke shikamoo zake ... ng'ata na mpulizaji. Naanzaje na kukujaza kipenzi, ulivyo mzuri shukuru. Kama nikukule na ugali πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Tayukwa mbona umefikiria tofauti? π π π π π rudi uje upate selfika yangu hapa bana. Mbio hizo nitakukamatia Bujumbura hukoNakumbusha tu mmesema wenyewe siku hizi Ban zipo za kutosha kama njugu
Asante kwa kutukumbusha mkuu sasahivi utaona jamaa wanapita kufyeka koments π! Hebu watuwachee tuchitchat sieee!!πNakumbusha tu mmesema wenyewe siku hizi Ban zipo za kutosha kama njugu
Tayukwa hapa ni kichitchat nakuforaheeee tyuuuπππ!!Nimecheka hapa nilipo acha tu. Sina mbavu kibichwa ana hekaheka si za nchi hii atakuwa ana sonona moyoni masikini. Bi kiduke shikamoo zake ... ng'ata na mpulizaji. Naanzaje na kukujaza kipenzi, ulivyo mzuri shukuru. Kama nikukule na ugali πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Who is kibichwa? πππππππNimerudi, nimewaza hivyo baada ya kumtafakari huyo kibicwa kama namjua vile π
Tayukwa umenishinda tabiaa nakugawaaaaaa walai πππππππ Kibichwa mwenyewe nipo hapaaa mjuee mniwacheeeee πππNimerudi, nimewaza hivyo baada ya kumtafakari huyo kibicwa kama namjua vile π