Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,302
Weeee Kamera tu mkuuKila kiungo kimejazia kwa utashi wake hakuna kilichopunjwa tena mjazo haswa
Weeee Kamera tu mkuuKila kiungo kimejazia kwa utashi wake hakuna kilichopunjwa tena mjazo haswa
Nakujaza wapi mwenyekiti, hapo shuleni hamna hata kibarua cha ulinzi ,nianze kazi Mara moja 😂 🤓Nijazeee katibuu nijazee weeee nijazeee tuuu😊😊! Siku nyingi sana katibu fanya wepesi utubles pullliiizzzzzzzzzzzzzzz
Kamera inafanya hips za kuvutia hivyoWeeee Kamera tu mkuu
Mungu fundi bana mjumbe Antonniaubora wapi ndugu mjumbe hakuna ubora wowote
Ooh okeiKagauni flani red hivi katoto chini ya 22.. naona mabazi msio na ulezi mnavyo mwagika PM.. hovyo sana nyie... mdogo wangu Palina funga PM yako...
View attachment 2529174
Eendiwoooooooo mkuu siunajua teknolojiaa bana! Mie mepigwa pasi tyuuu😊Kamera inafanya hips za kuvutia hivyo
Nakujaza wapi mwenyekiti, hapo shuleni hamna hata kibarua cha ulinzi ,nianze kazi Mara moja 😂 🤓
Antonnia Ubarikiwe sana mjumbe tuitie basi mtoto wa kanda maalum Bantu LadyWee sema kweli??
Wabheja sana Ndugu mjumbe
Bantu Lady Anakuja ndugu mjumbe wakati twamsubiria nifanyie wepesi lile smile jamaniiAntonnia Ubarikiwe sana mjumbe tuitie basi mtoto wa kanda maalum Bantu Lady
Si baadae ndugu mjumbe usiwaze aise AntonniaAnakuja ndugu mjumbe wakati twamsubiria nifanyie wepesi lile smile jamanii
Kwahio wee ni mtoto 😛🤗🤗?? Utaua watoto kwa njaa katibu lile tabasamu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz! Ile picha huwa haitoki kichwani walai fanya nawewe utubles banaa!!Kipoo ndugu mjumbe fanya hima uje kuapply Kazi ya ulinzi banaa!!
Nakuja isee hata kama hamna mshahara nitalima vibarua, dooh!!, hapo kwenye chakula ya mtoto ndo ugonjwa wangu, mie😍,
Mie mtoto mkubwa!! ,Baadae mwenyekiti ile mida yetu!!,Kwahio wee ni mtoto 😛🤗🤗?? Utaua watoto kwa njaa katibu lile tabasamu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz! Ile picha huwa haitoki kichwani walai fanya nawewe utubles banaa!!
Haina noma katibu ukitia timu kikaoni usisahau kuniita kitrambo sana ujue!!Mie mtoto mkubwa!! ,Baadae mwenyekiti ile mida yetu!!,
Kuvunja chagaa nitrambee lol!! Ya kawaida tu mkuuShep la kuvunja chaga
Usijali nitakusaka popote ulipo, naanzaje kikao bila idhini ya mwenyekiti 😀 ,kikao nitakuwa batiliHaina noma katibu ukitia timu kikaoni usisahau kuniita kitrambo sana ujue!!
Kabisa katibu ila pia mnaweza endelea tu as Long as katibu upo hakuna kitachoshinfikana!!Usijali nitakusaka popote ulipo, naanzaje kikao bila idhini ya mwenyekiti 😀 ,kikao nitakuwa batili