Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Yes, ukiweka na chapati itapendeza zaidi😊Au utanywea chai kesho???😁
Yes, ukiweka na chapati itapendeza zaidi😊Au utanywea chai kesho???😁
Ye ameshashiba wali maharage 😁😁Umbakishie na mtoto sasa, sio ule wote..
Zile tumemaliza. Labda 🥞🥞Yes, ukiweka na chapati itapendeza zaidi😊
Kashiba wali maharagwe sio wali maini..Ye ameshashiba wali maharage 😁😁
Ndio his fav haswa na chopped 🍅 pembeni.Kashiba wali maharagwe sio wali maini..
Ntafanya ziara ya kushtukiza, nihakiki..Ndio his fav haswa na chopped 🍅 pembeni.
Utakuja na mkaguzi??? Zawadi je???🤓Ntafanya ziara ya kushtukiza, nihakiki..
Hiko kikao ni mimi na watoto tu, zawadi za watoto tu, ice cream na peremende..Utakuja na mkaguzi??? Zawadi je???🤓
Kakubwa kadada hakajambo ntakarusha baadae kidogoNimerudi mamy Koku alige?? Msamilie sana atakua amekua sana saivi Siku hazigandi!!
Kasalimie sana siku zote ukimpostigi sijawahi bahatika kumuona kila Siku nakuta manyoyaaa!! Ukituma nitag jamani;Kakubwa kadada hakajambo ntakarusha baadae kidogo
Mzee wa hall VHahaha mzee wa hall 5.
Sisi tunacheza kibingwa.
This is Arsenal; Coyg.
Wee baasi ntakuletea spesho for yuuuuKasalimie sana siku zote ukimpostigi sijawahi bahatika kumuona kila Siku nakuta manyoyaaa!! Ukituma nitag jamani;
Amin Amin naisubiria madam!Wee baasi ntakuletea spesho for yuuuu
🙄🙄🙄🙄Hiko kikao ni mimi na watoto tu, zawadi za watoto tu, ice cream na peremende..
Yaan na wewe inabidi ujihamishie huko.. hio vita UN wataingilia kati.😎, Usalama wako andaa biriani ya nyama ya ngamia, usisahau maharagwe ya nazi..🙄🙄🙄🙄
Basi nawahamishia kwa jirani kwa muda.
🤣🤣🤣🤣Yaan na wewe inabidi ujihamishie huko.. hio vita UN wataingilia kati.😎, Usalama wako andaa biriani ya nyama ya ngamia, usisahau maharagwe ya nazi..
Nitakuelekeza butcher..🤣🤣🤣🤣
Wait.....
Hiyo nyama ya ngamia utakuja nayo??