Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwaka huu hata tusipochukua Ubingwa lakini timu ime improve sana.

Ukifanya ulinganifu utaona, Mwaka Jana baada ya michezo 25 tulikuwa na alama ngapi na sasa baada ya michezo 25 tuna alama ngapi.

The future is so bright 🔆 ahead
The future is promising.

Kwa position tuliopo Sasa.
Inabidi wachezaji na tecniko bench wapambane Sana

Tulikosa sura tutaziweka wapi?
Hawa mashabiki wa utd watabonga sana
 
The future is promising.

Kwa position tuliopo Sasa.
Inabidi wachezaji na tecniko bench wapambane Sana

Tulikosa sura tutaziweka wapi?
Hawa mashabiki wa utd watabonga sana
Kocha wetu hupenda kusema anacheza game kwa game hadi kumaliza game zote 38. Wachezaji na Benchi la Ufundi wakiendelea na hii Commitment huenda tukabeba Ndoo 🏆 mwaka huu.

Wacha tuendelee kuwapa Morale tutafika tu
 
Mwaka huu hata tusipochukua Ubingwa lakini timu ime improve sana.

Ukifanya ulinganifu utaona, Mwaka Jana baada ya michezo 25 tulikuwa na alama ngapi na sasa baada ya michezo 25 tuna alama ngapi.

The future is so bright 🔆 ahead
Arsenal ilikuwa ya kina ROBERT PIRES.. enzi hizo na mie nilikuwa napi mpira kama DENNIS BERGKAMP 😅😅😅 mashuti kama Rivaldo..
 
Kocha wetu hupenda kusema anacheza game kwa game hadi kumaliza game zote 38. Wachezaji na Benchi la Ufundi wakiendelea na hii Commitment huenda tukabeba Ndoo 🏆 mwaka huu.

Wacha tuendelee kuwapa Morale tutafika tu
it has been long time yan 19years Dah Ni ( miaka ya sophy27 kabisa)

Kikubwa saka na martnel waendelee kuwa fit
 
IMG_0664.jpg

[mention]National Anthem [/mention] kula kwa macho au nikulishie kwa Tigo pesa hii kitu
 
Back
Top Bottom