Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Shida yote ya nini jamani??
Shida yote ya nini jamani??
Nilikuwa napitia nyuzi offline 😌Mambo si mambo ...siku mingii kiukwelii
😂😂😂Wew mkorofi sana
😂Ziwa au puto
Kwa kuwa umesema wewe bhasi wacha mambo yajipeNilikuwa napitia nyuzi offline 😌
Kwanini mambo si mambo?uzima unao lakini?kama unao uzima basi lazima mambo yawe mambo
Kikubwa ni uhai lee changuKwa kuwa umesema wewe bhasi wacha mambo yajipe
Kabisaaaaa kabisaKikubwa ni uhai lee changu
Mashaallah Mashaallah
Hajjat Kama hajjat!!!
hahaha nilivofikiga tu hapo jambo la kwanza nikaulizia wapi naweza pata vitu vyangu;Kuna nini mazee 😅😅
AsanteMashaallah Mashaallah
Kwenye moja na mbili😂Hajjat Kama hajjat!!!
nidhamini pambano ijumaa ya leo.Kwenye moja na mbili😂
Aseee!!! Hii picha imeniponyesha homa kabisa.
Pambano la nn 😂nidhamini pambano ijumaa ya leo.
haha sema hata ivo hutaenda
Huo ndo ugomvi wa ngumi Sasa😂😂Aseee!!! Hii picha imeniponyesha homa kabisa.
Kwa hii rangi ya mrume na lipsi mzee wangu Shimba ya Buyenze akae mbali kabisa,Kama yeye na mwanae walishatoa ng'ombe,nitamrudishia gharama.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Camera tu sato Zinatubeba hamna kituAseee!!! Hii picha imeniponyesha homa kabisa.
Kwa hii rangi ya mrume na lipsi mzee wangu Shimba ya Buyenze akae mbali kabisa,Kama yeye na mwanae walishatoa ng'ombe,nitamrudishia gharama.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Usiifute hadi aione Shimba ya Buyenze apate na wivu kabisa.Huo ndo ugomvi wa ngumi Sasa![]()

No, Wala siyo kamera.Camera tu sato Zinatubeba hamna kitu
😂😂Ngoja aje na waraka 😂Usiifute hadi aione Shimba ya Buyenze apate na wivu kabisa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app