Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kipindi cha ndoa lazima unenepe kaka sio Kwa mrembo yule💞❤️‍🔥💞❤️‍🔥


Fanya urudi basi ukikonda zaidi ya hapo nitakusahau ujue.😌😌
😅😅 maswa nitanenepaje ndio hadi kuna siku nasahahu kama nimekula au lah.. hadi nikumbushwe.. goja nije kula huko mnavu na kitimoto
 
Kwamba Uko buzy/mazingira hujayapenda au huna jibu.😃

Inaonekana unachangua sana kaka.

Kitimoto na mnavu vimeshaisha
Kweli, sili chakula kinachopikwa na mtu yoyote, ndio maana nahisi mwanzo wa ndoa nilinenepa mda wote nilikuwa home, vyakula navyokuwa kwa amani kilichopikwa na mama yangu, mke, na watu wachache sana.. na hata kwenye migahawa mwanza nzima huwa nakula sehemu tatu tu.. hadi nakula chakula alichopika mtu nimme kilizisha kwa mengi sana 😅😅😅😅 huku nashindia maji zaidi..
 
Kweli, sili chakula kinachopikwa na mtu yoyote, ndio maana nahisi mwanzo wa ndoa nilinenepa mda wote nilikuwa home, vyakula navyokuwa kwa amani kilichopikwa na mama yangu, mke, na watu wachache sana.. na hata kwenye migahawa mwanza nzima huwa nakula sehemu tatu tu.. hadi nakula chakula alichopika mtu nimme kilizisha kwa mengi sana 😅😅😅😅 huku nashindia maji zaidi..
Nilijua unanitania siku ile😃😃kumbe kweli aisee…pole sana kwa mtindo huu kaka lazima ubaki kichwa😌😌😌

basi kama ni hivyo tafuta apartment yenye kila kitu ndani then tafuta mtu awe anakupikia hapo ulipo
 
Nilijua unanitania siku ile😃😃kumbe kweli aisee…pole sana kwa mtindo huu kaka lazima ubaki kichwa😌😌😌

basi kama ni hivyo tafuta apartment yenye kila kitu ndani then tafuta mtu awe anakupikia hapo ulipo
Nipo hivyo toka mdogo kwenye selection ya mkono wa mtu ambae nitakula chakula chake. Sili chakula kilichopikwa na yoyote.

Labda nipike mwenyewe tambi na mayai na chai 😅😅😅 na soseji au wali na asali ... ila nikija nakula mnavu hapo 😊😊
 
Back
Top Bottom