Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ya kunywa Redbul sana.

Fanya chap.
Umeshakula lakini?
Wewe si wa kuwa na machungu ya msoto ujue😁
🥲🥲 Kuna kipindi nilinenepa ujue.. kweli acha nikae mbali na redbul sije kuwa chuma ulete kwa afya yangu

Mama kafungua nchi, ila wengine ni 🔥🔥🔥🔥.. sijala kwakweli nasubili mpakani wa leo na kesho
 
🥲🥲 Kuna kipindi nilinenepa ujue.. kweli acha nikae mbali na redbul sije kuwa chuma ulete kwa afya yangu

Mama kafungua nchi, ila wengine ni 🔥🔥🔥🔥.. sijala kwakweli nasubili mpakani wa leo na kesho
Imebidi nicheke kisirisiri..kwahiyo ulinenepaga😁😁😁..

Kaka mkubwa Rebull sio nzuri kuwa kila mara ujue

Kaka pigana ingiza mawe ya kutosha ukija mjini huku utulishe bata ndugu zako😃.hebu kula acha mambo ya ajabu basi
 
Imebidi nicheke kisirisiri..kwahiyo ulinenepaga😁😁😁..

Kaka mkubwa Rebull sio nzuri kuwa kila mara ujue

Kaka pigana ingiza mawe ya kutosha ukija mjini huku utulishe bata ndugu zako😃.hebu kula acha mambo ya ajabu basi
Kweli nilinenepa kweli, au sijui ndoa ilikuwa changa.. milo mitano kwa siku 🤣🤣🤣 ila sasa hivi kuna siku napita kama vile hamna kinacho endelea nasahahu hata kula 😅😅😅 nguo zilizokuwa zinanishika zimelegea
 
Kweli nilinenepa kweli, au sijui ndoa ilikuwa changa.. milo mitano kwa siku 🤣🤣🤣 ila sasa hivi kuna siku napita kama vile hamna kinacho endelea nasahahu hata kula 😅😅😅 nguo zilizokuwa zinanishika zimelegea
Kipindi cha ndoa lazima unenepe kaka sio Kwa mrembo yule💞❤️‍🔥💞❤️‍🔥


Fanya urudi basi ukikonda zaidi ya hapo nitakusahau ujue.😌😌
 
Back
Top Bottom