Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Weka na mboga za majaniš
Weka na mboga za majaniš
Nimeona uvivu ššWeka na mboga za majaniš

Loooh kumbe we ni baba tiyari daaah asee mi ni mdogo sana basiView attachment 2520025
@Dr lizz unamuona kijana wangu leo katimiza miezi 3
Chakula cha mtoto wa class 5 kidogo hivyo loooh watu hamna matumbo sio š¤£š¤£
Usha anza mapema ivyo
Paka wako huwa humwogeshi/kumnawisha uso?
Paka wako huwa humwogeshi/kumnawisha uso?
Paka wako huwa humwogeshi/kumnawisha uso?
Kazuri..Niwe namnawisha kila siku na kumpigisha mswaki šššš umeoma hiyo alama nyeus puan kazaliwa nayo
Kazuri..
Unapendaga kumuita nani paka wako..š¤Asante
Aah, hapo sawaNiwe namnawisha kila siku na kumpigisha mswakiumeoma hiyo alama nyeus puan kazaliwa nayo

Thanks Mjukuu, karibu tupalie mahindi huku shambani
Katika wanyama nimeshindwa kuwapenda ni pamoja na Paka.
Ndio mama ake alikuvuruga jana?View attachment 2520025
@Dr lizz unamuona kijana wangu leo katimiza miezi 3