National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,199
raraa reree kiofisi zaidi... nafi imefurahi sasa nipumzishe hekalu
Daah, mengine sisemi sana....
Kwahiyo huo ndio mshara ulioletwa na hilo gari?Shauri yako... Utapishana na gari ya mshahara ujueView attachment 1217177
Kuna sehemu moja hivi California inaitwa Orange County.....Yatupasa kushukuru tu, hakuna namna..
Imefikia kipindi nimeona ubatili, nikiangalia nilipotoka na nilipo pita ila mwili hautosheki.. nikasema hapana sasa... Mwili na macho kila vikiona vinataka, nikasema moyoni mwisho wake nini ? Nikaanza fanya zoezi la kuishi na kulala na kuamkia pamoja... Mtihani ulikuwa kufuta memory na yale ma fantasy ... sasa hivi naona kama nimenyooka sijacheza mechi isiyo rasmi kitambo... ingawa lolote laweza tokea haha...Kuna sehemu moja hivi California inaitwa Orange County.....
Kule wamejaa wanawake wakilatini (Latinos) kama ambavyo wakina Mwajuma wamejaa Mwananyamala...
Watoto ni wazuri kweli-kweli na wanaishi kiswahi-swahili tu, ukiwa na vipesa kidogo wanaweza kukuaa kabisa
Maisha hayako fair kabisa wana mpaka tunapiga magoti atupe lift kwenye range sport yake🤣🤣🤣Dr Lizzy yupo na chuma yake anatusikitikia
View attachment 2518754
mzabzab National Anthem na Mzee wa kupambania wanaomba hata lift
Bila hata kuchangia mafuta ....😏😏Dr Lizzy yupo na chuma yake anatusikitikia
View attachment 2518754
mzabzab National Anthem na Mzee wa kupambania wanaomba hata lift
Mtoto umeumbika utasema malaikaAnkol National Anthem kiduku mpapaso ... Nimejinenepea nalala usiku sana ndiyo maana sikeshiView attachment 2518698

Ankol National Anthem kiduku mpapaso ... Nimejinenepea nalala usiku sana ndiyo maana sikeshi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2518698
Maombi ni mengi na uhitaji ni kidogo. Mwenye juhudi,ushawishi na bahati atasikilizwaDr Lizzy yupo na chuma yake anatusikitikia
View attachment 2518754
mzabzab National Anthem na Mzee wa kupambania wanaomba hata lift
😅😅😅😅😅Mzee wa kupambania Nimeurudia rudia hii picha mwanawane kama nina solve physics 2... hapo dog alafu hushiki kiuno, unashika hips laini hizoo dah... muzuka inazidi 😊😊😊 nimechanganyikiwa tayari
Ww jamaa inaonekana ni mutu murefu sana aka ngongotiTukiwa kijiweni tukipiga zogo la hapa na paleView attachment 2518989
Ni ugumu wa maisha tu unanipelekesha 😵Sijui umekuwaje siku hizi tuuu 🤨🤨🤨
Sawa tuu 😔😔😔😔 na manyanyaso yakoNgoja nimalize kula kiporo.