Anza wewe maana hujawai tupia hata uchebe tu
Haswaaa... ila wakajifanya kama hawajauona ujumbe wangu vileHahahaha, we una akili sana ,picha za uchokozi uchokozi zile
Mashallah!!!!
Huko nyuma kuna giza sitoona, niwekee hapa moja chap afu utafutaNishatuma sana ziko huko juu shemeji..
Chezea kunyonyesha ww,zimeisha zotee 😂 😂 😂Mama wenger...
Hizo piston bado zipo tuu..?![]()
😀😀😀 ntajing'ataSio gumu, Niambie unalisomaje? Weka na tones kabisa![]()
Gooogleeeeee oyeeeView attachment 1267831
Kwa kulinda wadada wa google hahaha u cant be serious bwanaNafuga mbwa halafu nanunua na gun![]()



camera ya wereva inafanya hiyo kazi
Hakuna camera inacapture image katika hiyo ratio
Pm kuhusike
Nioneshe![]()
Kwa kulinda wadada wa google hahaha u cant be serious bwana