Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

FB_IMG_1675340448676.jpg
 
Grahams Grahams Grahams nimekuita mara tatu mzee wangu embu achana na ukandarasi njoo huku jimbo la Antonnia lipo wazi na linakuhitaji njoo kabla hajabadili mawazo usisahau kunitumia vocha yangu ya ukuwadi 🤗
Mkuu unataka kunipa laana kwa Wajukuu zangu, Mimi siwezi kufanya kama Nabii Ruthu alivyofanya kwa Mabinti zake 😎

Kwema lakini Mkuu? Babu yenu kazi za shambani zimenifanya kuwa busy hakika
 
Mi nipo sana sema wewe si ulitukimbia hapa? 😂 Sijui ndio masharti ya Grahams kuwa usizoeane na sisi.
Unajua kwa utani wako huu, umefanya Mjeda last week aje PM kunichimba Mkwara.

Na inaonekana jamaa yupo serious, Bila na Mimi kupitia Jeshini miaka ile ningeshaanguka kwa Presha kutokana na Mkwara alionipiga 🤪. Hata hivyo nililazimika kumwonesha na Cheti changu cha kuzaliwa ndiyo akaamini 🙌

Hope mnaendelea vizuri huko Mjini
 
Back
Top Bottom