Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa lile kosa
Sio la kupewa ban ya siku 7
Af kumbe sina koneksheni 😂😂
yan napitia konekshen ndo napunguziwa zibaki 3
Sema nashukuru we uliyenikonekti
Maana hizo 4 nyingine dah 🥹

Nimeambiwa niache kutukana sijui kusema watu
Sawa
Sahiv dustin bin itajaa 😂
Ukisema 1+1 ni 11
Nikikwambia ni 2 ukikataa
Nakuweka bin 🙂🙂
Chitaki stress na watu wenyewe hamjulikani Lenie
Natamani nikusababishie ban 😂😂
Ila nimeokoka
Hallelujah
Mapendo ya kinafki na kiukweli yaendelee
 
Kwa lile kosa
Sio la kupewa ban ya siku 7
Af kumbe sina koneksheni 😂😂
yan napitia konekshen ndo napunguziwa zibaki 3
Sema nashukuru we uliyenikonekti
Maana hizo 4 nyingine dah 🥹

Nimeambiwa niache kutukana sijui kusema watu
Sawa
Sahiv dustin bin itajaa 😂
Ukisema 1+1 ni 11
Nikikwambia ni 2 ukikataa
Nakuweka bin 🙂🙂
Chitaki stress na watu wenyewe hamjulikani Lenie
Natamani nikusababishie ban 😂😂
Ila nimeokoka
Hallelujah
Mapendo ya kinafki na kiukweli yaendelee
Ila mbona hata hutukanagi jamani
Ningesema neno ila wacha tu nifunge mdomo.

Hahahaa ban mimi itaanzia wapi
 
Back
Top Bottom