Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,859
Unaona Sasa sophy27 ?Aisee nagombea jimbo tena kwa uzuri huo
Unaona Sasa sophy27 ?Aisee nagombea jimbo tena kwa uzuri huo
Naifuta soon usije kufa Kwa presha😂Kwa nini umerudia kuposti hii picha? Hujui Kamamimi Nina wivu sana? 😀
Haha na dreads juu.Yani mwanaume ukisuka ,kuvaa heleni ,kujichubua sikukonsidi kabisa






Mke mwenzaaaa puliiizzzz hilo jichoo nakuloga uwe kipofuu. Au nakuachia makengeza yangu.Tulia tulia
![]()






Ngoja apatikane mgombea mwenza kura zipigwe😂Aisee nagombea jimbo tena kwa uzuri huo
Mwanaume inatakiwa uwe natural tuHaha na dreads juu.
Afu yuko prouds haswaaa, ndo maana kumbeee.
Leo imethibitikaa. Uwiiiih.
Mkemwenza unaanza kunitisha😂😂 mumewetu katikat ya show akaacha akasifia kwanza jicho wew uzimie tu😂😂😂😂Mke mwenzaaaa puliiizzzz hilo jichoo nakuloga uwe kipofuu. Au nakuachia makengeza yangu.
![]()
Kwani nina mpinzani ?Ngoja apatikane mgombea mwenza kura zipigwe![]()
Mkemwenza unaanza kunitishamumewetu katikat ya show akaacha akasifia kwanza jicho wew uzimie tu
![]()






ntaakulogaa wallah, lazima uwe chongoo huu mwaka.
NdyoooooohKweli
😂😂😂😂ntaakulogaa wallah, lazima uwe chongoo huu mwaka.
kumbe ni wewe nilikuwa nahisi tuImagine mkemweza nikirembua 😂😂😂utaamua mwenyew tukuzike au tukusafirishe😂😂😂View attachment 2502359
Nimechukua jimbo rasimi
Aisee kweli utakuwa unahisi polekumbe ni wewe nilikuwa nahisi tu
Za kupotea we mtoto wa mara Bantu LadyHello Feb a month of LoveView attachment 2502210
Mjumbe salaaamaMorning mamyy! Umependezajeeee mtoto wa kitangaaaa!! Jichooo jichoooo sema leo umefichaaa lipssss dendaaaaa!
Uwe na Siku njema dear!!
Njema sana Ndugu mjumbe!!Mjumbe salaaama