Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,213
- 29,378
Unaona Sasa sophy27 ?Aisee nagombea jimbo tena kwa uzuri huo
Unaona Sasa sophy27 ?Aisee nagombea jimbo tena kwa uzuri huo
Naifuta soon usije kufa Kwa presha😂Kwa nini umerudia kuposti hii picha? Hujui Kamamimi Nina wivu sana? 😀
Haha na dreads juu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani mwanaume ukisuka ,kuvaa heleni ,kujichubua sikukonsidi kabisa
Mke mwenzaaaa puliiizzzz hilo jichoo nakuloga uwe kipofuu. Au nakuachia makengeza yangu.[emoji23][emoji23]Tulia tulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja apatikane mgombea mwenza kura zipigwe😂Aisee nagombea jimbo tena kwa uzuri huo
Mwanaume inatakiwa uwe natural tuHaha na dreads juu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu yuko prouds haswaaa, ndo maana kumbeee.
Leo imethibitikaa. Uwiiiih.
Mkemwenza unaanza kunitisha😂😂 mumewetu katikat ya show akaacha akasifia kwanza jicho wew uzimie tu😂😂😂😂Mke mwenzaaaa puliiizzzz hilo jichoo nakuloga uwe kipofuu. Au nakuachia makengeza yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume inatakiwa uwe natural tu
Kwani nina mpinzani ?Ngoja apatikane mgombea mwenza kura zipigwe[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntaakulogaa wallah, lazima uwe chongoo huu mwaka.Mkemwenza unaanza kunitisha[emoji23][emoji23] mumewetu katikat ya show akaacha akasifia kwanza jicho wew uzimie tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NdyoooooohKweli
😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntaakulogaa wallah, lazima uwe chongoo huu mwaka.
kumbe ni wewe nilikuwa nahisi tuImagine mkemweza nikirembua 😂😂😂utaamua mwenyew tukuzike au tukusafirishe😂😂😂View attachment 2502359
Nimechukua jimbo rasimiImagine mkemweza nikirembua [emoji23][emoji23][emoji23]utaamua mwenyew tukuzike au tukusafirishe[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2502359
Aisee kweli utakuwa unahisi polekumbe ni wewe nilikuwa nahisi tu
Za kupotea we mtoto wa mara Bantu LadyHello Feb a month of Love [emoji173]View attachment 2502210
Mjumbe salaaamaMorning mamyy! Umependezajeeee mtoto wa kitangaaaa!! Jichooo jichoooo sema leo umefichaaa lipssss dendaaaaa[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]!
Uwe na Siku njema dear!!
Njema sana Ndugu mjumbe!!Mjumbe salaaama