Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Weee sio hapa, nitakwambia nje ya hii appEm sema nisikie?
Weee sio hapa, nitakwambia nje ya hii appEm sema nisikie?
Nichokoze
Umeanza lini kutokujiamini?Weee sio hapa, nitakwambia nje ya hii app
kumbe wee muchaga😅😅
Yan af16k ni kitu ya kusema mabei?Umenogewa eeh🥰
Ngoja alhamis, leo mabei
Umeona nn? 😂k
kumbe wee muchaga😅😅
We unayo?Yan af16k ni kitu ya kusema mabei?
😂😂 ndioWe unayo?
😂😂😂😂unawaita?
mwanamke wakichaga nikiona hata kudole tuu basi.shingo hio dada.😅😅Umeona nn? 😂
Sawamwanamke wakichaga nikiona hata kudole tuu basi.shingo hio dada.😅😅
Tunaoteseka sisi chaputa
Umeonja utamu wa ban?Kwa lile kosa
Sio la kupewa ban ya siku 7
Af kumbe sina koneksheni![]()
yan napitia konekshen ndo napunguziwa zibaki 3
Sema nashukuru we uliyenikonekti
Maana hizo 4 nyingine dah 🥹
Nimeambiwa niache kutukana sijui kusema watu
Sawa
Sahiv dustin bin itajaa![]()
Ukisema 1+1 ni 11
Nikikwambia ni 2 ukikataa
Nakuweka bin
Chitaki stress na watu wenyewe hamjulikani Lenie
Natamani nikusababishie ban
Ila nimeokoka
Hallelujah
Mapendo ya kinafki na kiukweli yaendelee







Jipeleke😂😂 ndio
ni noma sana dada 🤣Umeonja utamu wa ban?![]()
Ayiiii uchoyo tuJipeleke
Welcome backWalinila last week
Na mm nimeiba avatar yao