Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eendiwoooooooo kipenziiiiiiiii! Mimi hata sihangaiki kuchapa mtoto wa mtu watoto wenyewe hawa afya mgogoroo!! Sitaki lawama za rejareja kabisaaa!!
Mi huwa nawapigisha magoti na kuwafinya masikioo na mashavuu ile njwiiiiiiiiii kidogo tu lakini
 
kwahio huko bweni ulikuwa msumbufu Sana ee
shule zote nilizosomaa visanga vyangu na matukio wanayajua.

Tena o level, yule mkuu wa shule alikuaga mkali balaa ila kwangu alipoaaa, nikifanya matukio anaanza kunihubiria, alikuaga mseminary, bas akianza kuongea hapoo utaskia haya sali mabaya yakupitee.

Afu nlikua maarufu, imagine niko 4m 1 lakini wanafunzi wa advance wananijua km tunasoma wote class 1.
 
shule zote nilizosomaa visanga vyangu na matukio wanayajua.

Tena o level, yule mkuu wa shule alikuaga mkali balaa ila kwangu alipoaaa, nikifanya matukio anaanza kunihubiria, alikuaga mseminary, bas akianza kuongea hapoo utaskia haya sali mabaya yakupitee.

Afu nlikua maarufu, imagine niko 4m 1 lakini wanafunzi wa advance wananijua km tunasoma wote class 1.
🤣🤣🤣boyfrend wako alikuwa anajiskiaje Sasa..kwautukutu wako🤣🤣
 
Back
Top Bottom