Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Mrembo yupo tayari mkuu😅kwakweli hili nalo litazamwe
Mrembo yupo tayari mkuu😅kwakweli hili nalo litazamwe
Mbagala charambe
Nguvu zimekuishia vipi tena jamani na ushaniahidi



Kashaanza vikwazo, hapa naachwa kwa mataaYah muhimu uzima🙏
Anatelekezaje mrembo? Kama umejiandaa tayari tupia pic moja itamtoa huko alipojificha😅
Mrembo yupo tayari mkuu![]()


atakuja na wezake 30 wakat mimi bajet yangu 20000 tunaenda kunywa maji ya dasani tu mpaka lita itimie 


Hana bahati kijana😄Kashaanza vikwazo, hapa naachwa kwa mataa
Kashaanza vikwazo, hapa naachwa kwa mataa



Cc Lenie 🤣🤣🤣Shida ni huko charambe mzeeeatakuja na wezake 30 wakat mimi bajet yangu 20000 tunaenda kunywa maji ya dasani tu mpaka lita itimie
![]()
Daah watu wa ushuani mna mazarau 😂Uki charambe kumenimaliza kabisa nilisia uko wanakaaga mifugo![]()
Lenie Hana shida atakunywa maji na savanna mbili tu😅Yah ujue sikuiz wat hawataki kunywa maji![]()
Daah watu wa ushuani mna mazarau![]()
Kwani wewe uko wapi
Boda boda si zipo nafika mjini chap.
Niambie basi nianze kutoka au
🤣🤣Shida ni huko charambe mzeeeatakuja na wezake 30 wakat mimi bajet yangu 20000 tunaenda kunywa maji ya dasani tu mpaka lita itimie
![]()
Siamini nimeoga vya bure![]()
Huyu mtu kaniongezea huzuni maradufu




kitumbua kimeingia mchanga


Mbaya sana hii😅Siamini nimeoga vya bure 😂🤣🤣
Huyu mtu kaniongezea huzuni maradufu
Asante kwa kujali, you are such a gentlemanNipo hapa sinza palestina
Boda boda si utafika sura imepauka kisa vumbi mamy?
Kwanini usichukue bolt?
Lenie Hana shida atakunywa maji na savanna mbili tu![]()
Unaona sasa kijana anajitutumua😊Asante kwa kujali, you are such a gentleman
Haya nitumie hela ya bolt mie nijienjoy kwenye ac
![]()
Tutakuja jumla watano tu, hata sio wengi ila 20,000 asa itatoshea nini jamani
Si nitarudi home hata sijashiba nianze kupasha viporo


au ukuje na kuku uwachukue pale kwa azizi ally af uwaweke kwenye mkoba 

