Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shida ni huko charambe mzeee atakuja na wezake 30 wakat mimi bajet yangu 20000 tunaenda kunywa maji ya dasani tu mpaka lita itimie
🤣🤣
Tutakuja jumla watano tu, hata sio wengi ila 20,000 asa itatoshea nini jamani
Si nitarudi home hata sijashiba nianze kupasha viporo
 
Back
Top Bottom