Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
Mrembo yupo tayari mkuu😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwakweli hili nalo litazamwe
Mrembo yupo tayari mkuu😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwakweli hili nalo litazamwe
Hiyo siku uwepo mjini tu.
Ahaa Mwachiluwi njoo hapa [emoji1]
Mbagala charambe
Nguvu zimekuishia vipi tena jamani na ushaniahidi
Kashaanza vikwazo, hapa naachwa kwa mataaYah muhimu uzima🙏
Anatelekezaje mrembo? Kama umejiandaa tayari tupia pic moja itamtoa huko alipojificha😅
Mrembo yupo tayari mkuu[emoji28]
Hana bahati kijana😄Kashaanza vikwazo, hapa naachwa kwa mataa
Kashaanza vikwazo, hapa naachwa kwa mataa
Cc Lenie 🤣🤣🤣Shida ni huko charambe mzeee [emoji23][emoji23][emoji23] atakuja na wezake 30 wakat mimi bajet yangu 20000 tunaenda kunywa maji ya dasani tu mpaka lita itimie [emoji23][emoji23][emoji23]
Daah watu wa ushuani mna mazarau 😂Uki charambe kumenimaliza kabisa nilisia uko wanakaaga mifugo [emoji23][emoji23][emoji23]
Cc Lenie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lenie Hana shida atakunywa maji na savanna mbili tu😅Yah ujue sikuiz wat hawataki kunywa maji [emoji23][emoji23]
Daah watu wa ushuani mna mazarau [emoji23]
Kwani wewe uko wapi
Boda boda si zipo nafika mjini chap.
Niambie basi nianze kutoka au
🤣🤣Shida ni huko charambe mzeee [emoji23][emoji23][emoji23] atakuja na wezake 30 wakat mimi bajet yangu 20000 tunaenda kunywa maji ya dasani tu mpaka lita itimie [emoji23][emoji23][emoji23]
Siamini nimeoga vya bure [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Huyu mtu kaniongezea huzuni maradufu
Mbaya sana hii😅Siamini nimeoga vya bure 😂🤣🤣
Huyu mtu kaniongezea huzuni maradufu
Asante kwa kujali, you are such a gentlemanNipo hapa sinza palestina
Boda boda si utafika sura imepauka kisa vumbi mamy?
Kwanini usichukue bolt?
Lenie Hana shida atakunywa maji na savanna mbili tu[emoji28]
Unaona sasa kijana anajitutumua😊Asante kwa kujali, you are such a gentleman
Haya nitumie hela ya bolt mie nijienjoy kwenye ac
[emoji1787][emoji1787]
Tutakuja jumla watano tu, hata sio wengi ila 20,000 asa itatoshea nini jamani
Si nitarudi home hata sijashiba nianze kupasha viporo