Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Marahaba madam, uko poa?
cocastic ndo mwenyewe mtoto wa kingoni pale nimekufa nimeoza ndembe ndembee[emoji16]
"Huyu hapa huyu nampendaaaa
Huyu hapa huyu ananipendaaa"

[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
lini tunakula mpunga sasa haujambo dear
@Mjep
Mume wangu hebu sema ndoa lini, watu wanataka kuvimbiwa pilau na kachumbali

Mie sijambo dear. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom