kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,987
- 4,872
Dingi we vipi yale maniaje ulifanikiwa Wigelekelo
Dingi we vipi yale maniaje ulifanikiwa Wigelekelo
Angalia WhatsAppDingi we vipi yale maniaje ulifanikiwa Wigelekelo
Mimi nikajua umesahau mawardatNjema eti,mie nimesubiri kuitwa mie nimeamua niitike mie,
Nasubiri mie,tupia sasa![]()
Huu mwakaHivi ndugu mjumbe Antonnia Bantu Lady mbona hamuonekani au ndio mmepigwa pini na kina nanii
kishakuwa msukule wa UMUGHAKA 😃😃😃Huu mwaka
Kuna utoro sana humu jamvini
Alianza Depal nikamkukuta chocho za MMU huko kahamia
Akaja Kelsea yeye sasa kimasihara ndio kapangisha
Huyu wakuitwa Pau Bae kabadili dini na jina pia
Kiboko ni Loveloviekishakuwa msukule wa UMUGHAKA
Huyu Antonnia na Bantu Lady nawasemelea Kwa Mshana Jr
Haiwezekani tubaki na alosto
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app

😂😂😂Mim huyu 😂😂😂Huu mwaka
Kuna utoro sana humu jamvini
Alianza Depal nikamkukuta chocho za MMU huko kahamia
Akaja Kelsea yeye sasa kimasihara ndio kapangisha
Huyu wakuitwa Pau Bae kabadili dini na jina pia
Kiboko ni Loveloviekishakuwa msukule wa UMUGHAKA
Huyu Antonnia na Bantu Lady nawasemelea Kwa Mshana Jr
Haiwezekani tubaki na alosto
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Zote hizo ni mlo mmoja?
Ndio naamka sasa
Hello AlexHello
