Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
hapn chezea dada miktabauzuri wake mie kabla ya kukubali mahusiano na mtu huwa naweka terms m conditions, yaan km mkataba..
Ko atafanya km masharti ya mkataba yanavyotaka, aki kiukaa bas na mahusiano yamekufa automatically.
Huyu upuuzi siwezi fanyiwa wallah. Labda mwenyewe nijustukie ndo niamue iwe hvyoo.![]()
kungwi mwenyewe
umeamkaje





