Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shougaaaaa anguuu
Hili vazi la batiki umekua km mke wa katekistaaaa


Mbavu zangu mie uwiiiiiiih. Khaaaah shougaaa siku hizi umepatwaa na nn? Umeibiwaa had nguoo??
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!
Vijana mabarobaroooooo mna hekahekaaaa sio kidogo!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!

Hebu niwache na dila langu miee๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Mimi usiniite huku mpaka siku utakayogeuka. Umenishindisha hapa leo hata huruma huna. Karma itakunyorosha tu kwani utakwenda wapi? ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ
Wewe na nduguyo Wigelekelo sawasawa ila Wasukuma mna nini? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kwanza huna mtoto ama mdogo wako huko wa kiume?
 
Back
Top Bottom