Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,016
- 177,327
Mi Chips jr alizikataaga wakati yuko kwa 🤰 hadi leooo walaaa sishtushwi nazo kabisa!! Kula tu dear Maisha Ndio hayahayaa!!Naachaje 😅😅
jana tu nimekula
nasubiri siku si nyingi tu hapa 😅
Mi Chips jr alizikataaga wakati yuko kwa 🤰 hadi leooo walaaa sishtushwi nazo kabisa!! Kula tu dear Maisha Ndio hayahayaa!!Naachaje 😅😅
jana tu nimekula
nasubiri siku si nyingi tu hapa 😅
Ni du ze nidful ivoivoooKwahio umemuona Eroni tu!! Kama nimempenda toka moyoni sijareee wala neneee najua ni kazi/ majukumu tyuuuu! So do the needful ivoivooooo!!
ooh sawaMi Chips jr alizikataaga wakati yuko kwa 🤰 hadi leooo walaaa sishtushwi nazo kabisa!! Kula tu dear Maisha Ndio hayahayaa!!
Si umetolea ERoni kuwa mchafu na kujiselfii kama mfano naweee kwahio mi pendapenda sio🤔🤔😁😁???Ni du ze nidful ivoivooo
Kwamba umenipenda kutoka moyoni?
ERoni itakuwaje?
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Hizo ndio sigusi kabisa labda kuku tu au ikaangwe ikauke sana tofauti na hapo nitavimba kuwashwa na kuumwa na tumbo balaa!!ooh sawa
mimi nazila kwa hamu
kitu ambacho sikinai ni nyama tu .
Nakumbuka ulisemaga juu ya hii .Hizo ndio sigusi kabisa labda kuku tu au ikaangwe ikauke sana tofauti na hapo nitavimba kuwashwa na kuumwa na tumbo balaa!!
shepu kama yote
Duhhhhhhhhh!! Lakini si inakua ishachemchwa sana???Nakumbuka ulisemaga juu ya hii .
Pole aisee
kuna muda nilikuwa napenda firigisi hizi nimeacha baada ya kusikia zimekutwa na mabaki ya madawa .
Asante dear Kamera zinatusevu sana !!shepu kama yote
looking good 😍😍
Amen ccyBarikiwa sana sis Uwe na wakati mwema!! Enjoy your meal 😋😋😋😋
ni broiler hiziDuhhhhhhhhh!! Lakini si inakua ishachemchwa sana???
hahaa ndo zimekujaza hips 😅Asante dear Kamera zinatusevu sana !!
Tukopoa vip wewBantu Lady cocastic Tinsley Lovelovie sophy27 ERoni Jack Palladino sumbai kitalembwa Wigelekelo Poor Brain kiduku mpapaso na wengineo mmeshindaje wapendwa!??
Ndio dear 😁😁😁😁😂hahaa ndo zimekujaza hips 😅
Nipo njema sana Madam!!Tukopoa vip wew
Kama zina hayo madhara Bora uache make vya kuandaliwaandaliwa tu Huko barabarani sio kabisani broiler hizi
za kukaangwa tu
Nimeacha kula mishikaki na ndizi barabarani ... ama kweli nimekua
✋😴😴😴😴😴😴Salam za usiku wadau
Jirani hujambo..✋😴😴😴😴😴😴