Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,107
Mimi ni expert kwenye idara hiyo, ndio biashara yangu hiyo kuuza maembe,Nani amekwambia ilo embe ni chachu?
Mimi ni expert kwenye idara hiyo, ndio biashara yangu hiyo kuuza maembe,Nani amekwambia ilo embe ni chachu?
🙆🙆🙆🙆
Dogo hebu tulia.utapata tabu sanaaaa
Mkuu, mbona sijaona funguo za ndiga zining'inie hapo....??teh![]()
Mida ya kaziView attachment 1266368

Hahahaha mzee mi nilijua upo na ganboot kama zile za mzee wenu mshana. Upo field



kinyonga alivyo mpole vile?? Aisee kweli binadamu tunatofautiana!!
Bora nikutane na hiyo kitu kuliko kinyonga
We mtoto mbona una kichwa kizuriKwani nani sasa mwenye pesa za kusuka?? Mie nywele zangu huwa nabana mtindo mmoja kila siku hadi zinakatika humu pembeni yaani ungeona ninavyohangaika nazo kuzilazimisha zikuwe ungenicheka!!
Mimi bichwa langu kubwa halina chogo halafu lina mapembe,, tena ngoja nikafukue kapicha fulani hivi nilikapiga mwaka juzi wakati nanyoa nikalete hapa uone nilivyo na kichwa kibaya yaani natamani tena ninyoe ila daah..View attachment 1266448



Al kasus mujarab hiyo au just a cup of coffee?



daah asante kwa tusi lako,, sijui ni kwamba hayo mapembe hayaonekani vizuri au labda ni kwa sababu ya hilo li emoji??
We mtoto mbona una kichwa kizuri![]()
Hahahaha, mie nilishaleta RafikiPicha yako utaleta lin?
Mbona nnachokiona kwenye picha na maandishi nnayoyasoma kwenye comment havifanani ? Nimetafuta hilo bichwa na mapembe sijaviona.Kwani nani sasa mwenye pesa za kusuka?? Mie nywele zangu huwa nabana mtindo mmoja kila siku hadi zinakatika humu pembeni yaani ungeona ninavyohangaika nazo kuzilazimisha zikuwe ungenicheka!!
Mimi bichwa langu kubwa halina chogo halafu lina mapembe,, tena ngoja nikafukue kapicha fulani hivi nilikapiga mwaka juzi wakati nanyoa nikalete hapa uone nilivyo na kichwa kibaya yaani natamani tena ninyoe ila daah..View attachment 1266448
Na wewe haukuiona?


Kwani nani sasa mwenye pesa za kusuka?? Mie nywele zangu huwa nabana mtindo mmoja kila siku hadi zinakatika humu pembeni yaani ungeona ninavyohangaika nazo kuzilazimisha zikuwe ungenicheka!!
Mimi bichwa langu kubwa halina chogo halafu lina mapembe,, tena ngoja nikafukue kapicha fulani hivi nilikapiga mwaka juzi wakati nanyoa nikalete hapa uone nilivyo na kichwa kibaya yaani natamani tena ninyoe ila daah..View attachment 1266448



labda kwa sababu ya hilo li emoji ningelitoa hilo kingeonekana vizuri kabisa yaani kina mapembe halafu hakina chogo,, ningekuwa nimewahi piga picha kwa pembeni kama hivyo alivyopiga Atoto ningewaonesha ila ndiyo sina picha ya hivyo..
Mbona nnachokiona kwenye picha na maandishi nnayoyasoma kwenye comment havifanani ? Nimetafuta hilo bichwa na mapembe sijaviona.
JF stand up View attachment 1265973



haki wewe umenishinda tabia
Me hata sijahangaika na kichwa nimeshuka shingoni hadi kifuani![]()
Kwani nani sasa mwenye pesa za kusuka?? Mie nywele zangu huwa nabana mtindo mmoja kila siku hadi zinakatika humu pembeni yaani ungeona ninavyohangaika nazo kuzilazimisha zikuwe ungenicheka!!
Mimi bichwa langu kubwa halina chogo halafu lina mapembe,, tena ngoja nikafukue kapicha fulani hivi nilikapiga mwaka juzi wakati nanyoa nikalete hapa uone nilivyo na kichwa kibaya yaani natamani tena ninyoe ila daah..View attachment 1266448