Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwani nani sasa mwenye pesa za kusuka?? Mie nywele zangu huwa nabana mtindo mmoja kila siku hadi zinakatika humu pembeni yaani ungeona ninavyohangaika nazo kuzilazimisha zikuwe ungenicheka!!

Mimi bichwa langu kubwa halina chogo halafu lina mapembe,, tena ngoja nikafukue kapicha fulani hivi nilikapiga mwaka juzi wakati nanyoa nikalete hapa uone nilivyo na kichwa kibaya yaani natamani tena ninyoe ila daah..View attachment 1266448
We mtoto mbona una kichwa kizuri
 
Kwani nani sasa mwenye pesa za kusuka?? Mie nywele zangu huwa nabana mtindo mmoja kila siku hadi zinakatika humu pembeni yaani ungeona ninavyohangaika nazo kuzilazimisha zikuwe ungenicheka!!

Mimi bichwa langu kubwa halina chogo halafu lina mapembe,, tena ngoja nikafukue kapicha fulani hivi nilikapiga mwaka juzi wakati nanyoa nikalete hapa uone nilivyo na kichwa kibaya yaani natamani tena ninyoe ila daah..View attachment 1266448
Mbona nnachokiona kwenye picha na maandishi nnayoyasoma kwenye comment havifanani ? Nimetafuta hilo bichwa na mapembe sijaviona.
 
Me hata sijahangaika na kichwa nimeshuka shingoni hadi kifuani
Kwani nani sasa mwenye pesa za kusuka?? Mie nywele zangu huwa nabana mtindo mmoja kila siku hadi zinakatika humu pembeni yaani ungeona ninavyohangaika nazo kuzilazimisha zikuwe ungenicheka!!

Mimi bichwa langu kubwa halina chogo halafu lina mapembe,, tena ngoja nikafukue kapicha fulani hivi nilikapiga mwaka juzi wakati nanyoa nikalete hapa uone nilivyo na kichwa kibaya yaani natamani tena ninyoe ila daah..View attachment 1266448
 
labda kwa sababu ya hilo li emoji ningelitoa hilo kingeonekana vizuri kabisa yaani kina mapembe halafu hakina chogo,, ningekuwa nimewahi piga picha kwa pembeni kama hivyo alivyopiga Atoto ningewaonesha ila ndiyo sina picha ya hivyo..
Mbona nnachokiona kwenye picha na maandishi nnayoyasoma kwenye comment havifanani ? Nimetafuta hilo bichwa na mapembe sijaviona.
 
Duuuu
Kwani nani sasa mwenye pesa za kusuka?? Mie nywele zangu huwa nabana mtindo mmoja kila siku hadi zinakatika humu pembeni yaani ungeona ninavyohangaika nazo kuzilazimisha zikuwe ungenicheka!!

Mimi bichwa langu kubwa halina chogo halafu lina mapembe,, tena ngoja nikafukue kapicha fulani hivi nilikapiga mwaka juzi wakati nanyoa nikalete hapa uone nilivyo na kichwa kibaya yaani natamani tena ninyoe ila daah..View attachment 1266448
 
Back
Top Bottom