Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,656
Not one for the kicks, but I'm not far off either.
Duuuu
Ndio ndio 🏃Kitu tayari
Oh goood....Hahaha,huko mimi nilikimbia mkuu,yanini kuteseka na wanyama wakati binadamu wenzetu wapo wanahitaji huduma.[emoji1787][emoji1787]
Shauri yako ngoja hayo mapembe yatokee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]labda kwa sababu ya hilo li emoji ningelitoa hilo kingeonekana vizuri kabisa yaani kina mapembe halafu hakina chogo,, ningekuwa nimewahi piga picha kwa pembeni kama hivyo alivyopiga Atoto ningewaonesha ila ndiyo sina picha ya hivyo..
Et unasema bichwa lako lina mapembe na halina kichogo.Hebu nisaidie kuwaambia bro
Hongera aiseeNdio ndio 🏃
Shauri yako ngoja hayo mapembe yatokee.
Et unasema bichwa lako lina mapembe na halina kichogo.
We mbona unamaneno saaana. Hahaha
Saa imefika twendei nyumbani,tukale ugali wetu na pia na mboga nzuriii,utoto raha sanaaaaa,lunch njema wapendwaaa wangView attachment 1266527
Okay. Ukimaliza mambo yako...huko green city ukija huku uniambie nikione[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haki ya nani tena
[emoji2960]View attachment 1266553
Nimeshayakemea hayatatokea murembo.[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Okay. Ukimaliza mambo yako...huko green city ukija huku uniambie nikione
Nimeshayakemea hayatatokea murembo.
Haya mambo haya ya kutamanishana sio mazuriTarehe zinakaribia[emoji41]View attachment 1266578