Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nanunua tu mils chache za kupima.
.
Sikuona maajabu yake ila mwenyewe kila siku anaisifia.

Nimemchukulia Tena.
Na opium, Bila kusahau Sauvage ili equation ibalance.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Ni nzuri sana Scandal ingawa ni kali mimi naipenda hivyo hivyo[emoji3]

umenipa idea ngoja nitafute ya Mills chache lol maana na Njaanuary hii nitachina
 
Ni nzuri sana Scandal ingawa ni kali mimi naipenda hivyo hivyo[emoji3]

umenipa idea ngoja nitafute ya Mills chache lol maana na Njaanuary hii nitachina
Namshukuru Mungu za kupima zipp
Vinginevyo sijui ningekuwa mgeni wa nani.

Pima hata mils 50.

Sijui hata scandal inapendewa Nini😁ya kawaida sana.


Mwezi huu naenda na Lady million.
Opium ipumzike.
 
Zidi kumpenda Nkamu maisha ndiyo haya haya na mtazidi barikiwa.

Mungu ni mwema utakua zaidi yangu Nkamu
Amen Nkamu.
Nampenda sana.

Hata hela ninayonunulia asilimia kubwa inatoka kwake mwenyewe
Ila nikimpa hizo perfume unakuta yuko happy sana😂
 
Umejibu vizuri na asante sana.

Hiyo nyeusi inaitwaje? Nimejaribu kusoma jina lake lakini sijaweza. Nitakwenda kuisaka Mlimani City...

Halafu nilijua tu yangu haitakuwa kwenye list yako....Huwa nasifiwa mara moja moja ...eti we mzee umezeeka lakini unanukia vizuri [emoji16][emoji16][emoji16]

Asante nkamu [emoji1545]
 

hiyo ni Tom Ford Mkuu.
hiyo yako sijawahi muona nayo ngoja niiweke kwenye list

Mimi naamini huwa unasifiwa sana[emoji28]

ongezea na JoeMalone
 
Amen Nkamu.
Nampenda sana.

Hata hela ninayonunulia asilimia kubwa inatoka kwake mwenyewe
Ila nikimpa hizo perfume unakuta yuko happy sana[emoji23]

Mungu ausimamie muungano wenu nafurahi kuona watu wanapendana
 
Ugonjwa

Vile ambavyo huwa nawapenda kumsikia mtu ananukia na mimi napenda kunukia[emoji16]

Addiction
Bei gani dear?? Na mie ninukie.
Maana hiki kikwapa na harufu nayotoa, naona wanavumilia tyuuh kuniambia wanashindwaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo nyeusi taja bei na wapi naweza pata, nimnunulie mtoto wa mama mkwe, nae ajimwaye mwaye. Hata vichenchede huko nje wampaparikie.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasema supp na carry sio shida zangu, sikuja chuo kushangaa maghorofaa, nlikuja kusoma eti.
Ohoooo kuna mtu aliniacha aka carry course,, nlifurahi kinyama [emoji23][emoji23]
 
Na hii bei gan? Mnanivurugaa mtoto wa mama mkwe ntamjazia perfume kibaoooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…