Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jan 6, 2023 #304,021 Bantu Lady said: Mkaka kabisa, unanimudu ipasavyo... Sijui kwanini wanakuona mdogo babe.. Au ile badilisha badilisha wanawake πππππ Click to expand... Tatizo wanahisi mimi kama wao!...Wanazusha kuhusu kubadili wanawakeπ€£
Bantu Lady said: Mkaka kabisa, unanimudu ipasavyo... Sijui kwanini wanakuona mdogo babe.. Au ile badilisha badilisha wanawake πππππ Click to expand... Tatizo wanahisi mimi kama wao!...Wanazusha kuhusu kubadili wanawakeπ€£
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 6, 2023 #304,022 Tinsley said: mapenzi yanaanza hivyo mwisho wa siku umezama kwenye huba zito . Click to expand... Haswaaaaaah dear. Ila nna kanuni 1, mguu m1 nje. Huwa siingiagi mazimaa eti,
Tinsley said: mapenzi yanaanza hivyo mwisho wa siku umezama kwenye huba zito . Click to expand... Haswaaaaaah dear. Ila nna kanuni 1, mguu m1 nje. Huwa siingiagi mazimaa eti,
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jan 6, 2023 #304,023 cocastic said: uzuri wake mie mzungu. Terms n conditions, genius anajua. Akizingua ameishaaa. Nimenyooka km rulaaaaaa. Click to expand... Hahha usimwache please hivi wewe haumiii ukiacha mtu ..
cocastic said: uzuri wake mie mzungu. Terms n conditions, genius anajua. Akizingua ameishaaa. Nimenyooka km rulaaaaaa. Click to expand... Hahha usimwache please hivi wewe haumiii ukiacha mtu ..
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,591 Reaction score 119,708 Jan 6, 2023 #304,024 Bantu Lady said: Size yake kabisa, anafit waambie π€£π€£π€£π€£π€£ Click to expand... Afanye kujaribu na kuleta mrejesho kwanza, otherwise bado hatujampitisha, Jack Palladino upo vizuri mkuu?
Bantu Lady said: Size yake kabisa, anafit waambie π€£π€£π€£π€£π€£ Click to expand... Afanye kujaribu na kuleta mrejesho kwanza, otherwise bado hatujampitisha, Jack Palladino upo vizuri mkuu?
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 6, 2023 #304,025 Ms cee said: Kho khokhoo Chat na picha wajomba na mashangaziiii Click to expand... Dyadyaaaaa nimepata bwanaa npyaaa. niombeee mdogo wako, nimezamaaa haswaa,
Ms cee said: Kho khokhoo Chat na picha wajomba na mashangaziiii Click to expand... Dyadyaaaaa nimepata bwanaa npyaaa. niombeee mdogo wako, nimezamaaa haswaa,
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jan 6, 2023 #304,026 cocastic said: Haswaaaaaah dear. Ila nna kanuni 1, mguu m1 nje. Huwa siingiagi mazimaa eti, Click to expand... Hongera mimk siwezi hivyo ... labda nisikuelewe .
cocastic said: Haswaaaaaah dear. Ila nna kanuni 1, mguu m1 nje. Huwa siingiagi mazimaa eti, Click to expand... Hongera mimk siwezi hivyo ... labda nisikuelewe .
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jan 6, 2023 #304,027 ERoni said: Afanye kujaribu na kuleta mrejesho kwanza, otherwise bado hatujampitisha, Jack Palladino upo vizuri mkuu? Click to expand... Nipo vizuri kila angle mkuu!
ERoni said: Afanye kujaribu na kuleta mrejesho kwanza, otherwise bado hatujampitisha, Jack Palladino upo vizuri mkuu? Click to expand... Nipo vizuri kila angle mkuu!
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,591 Reaction score 119,708 Jan 6, 2023 #304,028 Jack Palladino said: Nipo vizuri kila angle mkuu! Click to expand... Upunguze zile spirits chief, hizi machine zinataka utulivu sio kidogoπ€£π€£
Jack Palladino said: Nipo vizuri kila angle mkuu! Click to expand... Upunguze zile spirits chief, hizi machine zinataka utulivu sio kidogoπ€£π€£
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,393 Reaction score 59,137 Jan 6, 2023 #304,029 ERoni said: Watu kama nyie ndio tunawapa vijana tahadhari mapema, wawe na pulling ya kutoshaπ€£π€£π€£hujambo mdogo ake? Click to expand... ππππKaka ake nimecheka Sijambo shikamoo kaka
ERoni said: Watu kama nyie ndio tunawapa vijana tahadhari mapema, wawe na pulling ya kutoshaπ€£π€£π€£hujambo mdogo ake? Click to expand... ππππKaka ake nimecheka Sijambo shikamoo kaka
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 6, 2023 #304,030 Tinsley said: Hahha usimwache please hivi wewe haumiii ukiacha mtu .. Click to expand... moyo huo Jah hajanipaaa, Mie naangalia furaha yangu tyuuh, mengine hayanihusu. Mzungu mie eti.
Tinsley said: Hahha usimwache please hivi wewe haumiii ukiacha mtu .. Click to expand... moyo huo Jah hajanipaaa, Mie naangalia furaha yangu tyuuh, mengine hayanihusu. Mzungu mie eti.
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jan 6, 2023 #304,031 ERoni said: Upunguze zile spirits chief, hizi machine zinataka utulivu sio kidogoπ€£π€£ Click to expand... Hii chapa ya ng'ombe mkuu!
ERoni said: Upunguze zile spirits chief, hizi machine zinataka utulivu sio kidogoπ€£π€£ Click to expand... Hii chapa ya ng'ombe mkuu!
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 6, 2023 #304,032 Tinsley said: Hongera mimk siwezi hivyo ... labda nisikuelewe . Click to expand... mie mwenyewe sijiamini, ndo nimuamini mwenzang? Hapanaaaaa.
Tinsley said: Hongera mimk siwezi hivyo ... labda nisikuelewe . Click to expand... mie mwenyewe sijiamini, ndo nimuamini mwenzang? Hapanaaaaa.
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,393 Reaction score 59,137 Jan 6, 2023 #304,033 cocastic said: Dyadyaaaaa nimepata bwanaa npyaaa. niombeee mdogo wako, nimezamaaa haswaa, Click to expand... πππππ Mdogo wangu nimeona tashtiti zako huko juu..Yani nimechekaaa Ikawe kheri mdogo wangu..cheza kwa step tu β£οΈ
cocastic said: Dyadyaaaaa nimepata bwanaa npyaaa. niombeee mdogo wako, nimezamaaa haswaa, Click to expand... πππππ Mdogo wangu nimeona tashtiti zako huko juu..Yani nimechekaaa Ikawe kheri mdogo wangu..cheza kwa step tu β£οΈ
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,591 Reaction score 119,708 Jan 6, 2023 #304,034 Ms cee said: ππππKaka ake nimecheka Sijambo shikamoo kaka Click to expand... Marahaba mdogo ake, au nimeongopa? Selfika kidogo tu hapa uone kama hawakimbii wote, hawana pulling hata kidogoπ€£π€£
Ms cee said: ππππKaka ake nimecheka Sijambo shikamoo kaka Click to expand... Marahaba mdogo ake, au nimeongopa? Selfika kidogo tu hapa uone kama hawakimbii wote, hawana pulling hata kidogoπ€£π€£
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jan 6, 2023 #304,035 cocastic said: moyo huo Jah hajanipaaa, Mie naangalia furaha yangu tyuuh, mengine hayanihusu. Mzungu mie eti. Click to expand... i wish niwe nunda hivyo .. ila ukibebaa mimba utaanza fikiria tofauti .
cocastic said: moyo huo Jah hajanipaaa, Mie naangalia furaha yangu tyuuh, mengine hayanihusu. Mzungu mie eti. Click to expand... i wish niwe nunda hivyo .. ila ukibebaa mimba utaanza fikiria tofauti .
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jan 6, 2023 #304,036 cocastic said: mie mwenyewe sijiamini, ndo nimuamini mwenzang? Hapanaaaaa. Click to expand... Haha hujiamini lol love is all about taking risks
cocastic said: mie mwenyewe sijiamini, ndo nimuamini mwenzang? Hapanaaaaa. Click to expand... Haha hujiamini lol love is all about taking risks
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 6, 2023 #304,037 Ms cee said: Mdogo wangu nimeona tashtiti zako huko juu..Yani nimechekaaa Ikawe kheri mdogo wangu..cheza kwa step tu Click to expand... Yaan navurugwaaa, nataman dunia itulie nihutubie kuwa nipo kwenye mahusiano. Yaan nipo kwenye penzi haswaaaa.
Ms cee said: Mdogo wangu nimeona tashtiti zako huko juu..Yani nimechekaaa Ikawe kheri mdogo wangu..cheza kwa step tu Click to expand... Yaan navurugwaaa, nataman dunia itulie nihutubie kuwa nipo kwenye mahusiano. Yaan nipo kwenye penzi haswaaaa.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 6, 2023 #304,038 Tinsley said: i wish niwe nunda hivyo .. ila ukibebaa mimba utaanza fikiria tofauti . Click to expand... naogopaaaaaaah!!!
Tinsley said: i wish niwe nunda hivyo .. ila ukibebaa mimba utaanza fikiria tofauti . Click to expand... naogopaaaaaaah!!!
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jan 6, 2023 #304,039 Nyie vijana sio watu wazuri kabisa, nipo PM na babe wangu namuweka sawa mshamvuruga sana daah! Glenn Wigelekelo ERoni
Nyie vijana sio watu wazuri kabisa, nipo PM na babe wangu namuweka sawa mshamvuruga sana daah! Glenn Wigelekelo ERoni
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,393 Reaction score 59,137 Jan 6, 2023 #304,040 ERoni said: Marahaba mdogo ake, au nimeongopa? Selfika kidogo tu hapa uone kama hawakimbii wote, hawana pulling hata kidogoπ€£π€£ Click to expand... ππππKaka ake ..Sina jipya
ERoni said: Marahaba mdogo ake, au nimeongopa? Selfika kidogo tu hapa uone kama hawakimbii wote, hawana pulling hata kidogoπ€£π€£ Click to expand... ππππKaka ake ..Sina jipya