Huo Uyanki utoke wapi na Umri huu, saivi tumebaki na nafasi moja tu WAZEE WASHAURI.weeeehh kwaile selfii yaile siku thubutuuuu!
Bado yanki sana tena kijana mmoja matraaatraaaaa sanaaaa wa kwenda roundi heavyπ!
πππBangi natafuna, ingine naoga naloweka km dawa ya kutoa nuksi na gundu mwilini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£π€£π€£ππππππππ€£π€£π€£π€£Mimi Mkurya mchanganyiko wa Congo, Zambia but bado mkali balaa... Sema sikuwa namtaka π€£π€£π€£π€£ Selfika pangewaka mbona natania bana. Nampenda Cocaa bana, love uchochezi huu leo kwemaaaaa ππππ
I love u moreβ€οΈ wengine wote tupa kule!Nina Jack Palladino ... Babe I love you ππππ
Kwakweli aunt nikupe ulinz na paja lako jeupe jeupe unafikir atakuacha kweliππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ongezaa sautiiiiiii puliiiizzzz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha sina kaka jamani naomba uwe kaka yangu π πKaka?
Tulizaliwa wote?
Nipo poa
Huku shwari
Hapo kwenye lugha ya kigeni
Ndio sijaelewa
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
@Mjep mume wangu, mahabubha, laazizhi, mkalia ini, tamuu yangu, wangu pekee yangu, uwezaye kunituliza akili na mwili.Eheee Mjep hongera sana mkuu!..umewezaje kukituliza hiki kiumbe?
Kumbe ni maindu? Bora nimepata ndugu humu. Sasa mtuchokoze Wakurya muone tutawagecha πππππMbona mimi sina hiyo ngozi
inabidi nirudi nyumbani aisee
kukulia mjini ni shida ππ.
Unataka niseme au ninyamaze?Mbona mimi sina hiyo ngozi
inabidi nirudi nyumbani aisee
kukulia mjini ni shida [emoji38][emoji38].
Huo Uyanki utoke wapi na Umri huu, saivi tumebaki na nafasi moja tu WAZEE WASHAURI.
Mkigombana huko na Waume zenu Sisi Wazee tunashauri tu π€ͺ
Ngoja nikimbizane na Kupanda mahindi yangu hapa shambani, msiache kuja kutusaidia Palizi tu π€
Masikini Mjep amekwishaaaaπ€£@Mjep mume wangu, mahabubha, laazizhi, mkalia ini, tamuu yangu, wangu pekee yangu, uwezaye kunituliza akili na mwili.
Njoo baba utoe muongozo, unaitwa huku. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena namchungaaaa haswaaaa, afu nam mudu sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nunua panga kabisa abiria chunga mzigo wako
sijui chochote kuhusu ukuria ..nipo nipo hapa sema ni pure .Kumbe ni maimdu? Bora nimepata ndugu humu. Sasa mtuchokoze Wakurya muone tutawagecha πππππ
Weraaaaaaaaaahhhh ππππππ€Έπ€Έπ€Έ! Navoitikia utadhani namie nina Injinia ππππ€£π€£π€£!Weraaaaaaaaaa Weraaaaaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume kwa mwanake ni kama mkate kwa chaiTena namchungaaaa haswaaaa, afu nam mudu sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona luv... ni rafiki yake sisi wazungu. Tuna marafiki wa jinsia tofauti ππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anatujua wangoni anatusikiaa? Amuulize mwanaume mwenyewee, huwa anatamka lugha 27 anazopaswa kutamka akiwa kitandani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bantu Lady mkurya gani wewe hebu muoneshee mngoni huyu hakujuuiiii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Bwana si kaja mwenyewe wee mvae tyuuhhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Mi Nimekaa paleee nawatch muviiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fungukaaa bhanaaa wwe. Sasa unaogopa nn eti?Hayaelezeki kabisa