Ulishindwaaa au uliachwaaaaa?Nijilipue wapii?? Saii kila mtu apambane nahali yake tyu no way kule sirudi hata kwa mtutu!
Nipe siri ya kudumu na Mtu humu mi nilishashindwaga kipenzi!!
Kuna vizee havipitwi na sketiii!! Vimezeeka ila vimooooooo vinapenda K kuliko hata chakula
Niko hapa nawasubiria kipenzi unajua nivokufa nikaoza kwa vibabu miyeππ Vijana bakini nao wenyeweeeππWazeee hapanaa mwsho waanze kuniambia niwe navaa codes za ofisini akati sio fleva angu.
Wazeee hapanaaa, ngojaaa nikupasieeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naambiwa niliachwaaaaaaa tena kuachwa kwa mbwembweeee sio kidogo hadi nilikomaaaaaπ€£π€£π€£π€£!!;
Hio hadharani vepee kila kitu mafichoni hukoooπππ!!nasema siweziiiiiiii, mwenzio mie kumpiga dendaa babee angu hadharan sishangai, kumkumbatiaa, kujidekeza na kujishauaaa hizo sio shda zanguuu eti.
Wawezeee wengineee, mie hapanaaaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliachwaaaaaaa tena kuachwa kwa mbwembweeee sio kidogo hadi nilikomaaaaa!!;
Nasema Weka selfii yako hapa nikojoeee laivuuuuu!!hahahaha,ticha itakua una hamu ya kukojoa
Vizee visivyotakaaa kuzeekaa.Niko hapa nawasubiria kipenzi unajua nivokufa nikaoza kwa vibabu miyeVijana bakini nao wenyeweee
Mie mzungu bhanaaaa wee, muulize MjepHio hadharani vepee kila kitu mafichoni hukooo!!
Tuliweka Nyuzi moja sasaπ€£π€£π€£π€£π€£πππ€£π€£π€£π Mbavu zangu hukuuu ! Hebu nicheke miyeeeeeeeeeeπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππ!!eti hukumuweka wazi km umeolewa na umezaa mara 2, hadi mshono wa oparie ukamuonesha mwshoni.
Ila nyie had uzi mkaweka hapa, ila vizuri mko real, nlipendaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vishanikojolea uji wa uzima nimedatttaaaa huniambii kitu ππππ!!
Nimeandika na kufuta mara 3, πππππ mimi kwangu hata sikuwazaga kuja kuwa na mtu humu. Kwa mika 9 niliyokuwa humu. Tunaonaga ni Mungu tu alipanga.ππππNijilipue wapii?? Saii kila mtu apambane nahali yake tyu no way kule sirudi hata kwa mtutuπππ!
Nipe siri ya kudumu na Mtu humu mi nilishashindwaga kipenzi!!
Nyie mtakua mkko vizure hongeraa shoss angu!! !! Mambo ya Johari Wapi wapi Sijui kwakwenda mbereeeee!! Watu na watu wenyuuuuuuuu πππ
Weeeehh hongera sana kipenzi hamfuatiliani???Nimeandika na kufuta mara 3, πππππ mimi kwangu hata sikuwazaga kuja kuwa na mtu humu. Kwa mika 9 niliyokuwa humu. Tunaonaga ni Mungu tu alipanga.
Maana mazingira yaliyotufanya tujuane ππ»ππ»ππ»ππ» kati yetu hakuna aliyewaza kama leo tutakuwa hapa. Humu JF naishi naye kama hatujuani kabisa basi π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ No CC Antonnia
Niliona maana mida ile ndio tunaamka
We bibie upoWeeeehh hongera sana kipenzi hamfuatiliani???
Mambo mremboNimeandika na kufuta mara 3,mimi kwangu hata sikuwazaga kuja kuwa na mtu humu. Kwa mika 9 niliyokuwa humu. Tunaonaga ni Mungu tu alipanga.
Maana mazingira yaliyotufanya tujuanekati yetu hakuna aliyewaza kama leo tutakuwa hapa. Humu JF naishi naye kama hatujuani kabisa basiNo CC Antonnia
Asante luv. Anafatilia maana ni mtu mwenye wivu sana. Ni kijana but nachoshukuru ana hekima sana. Bila hivyo π€£π€£π€£π€£ akiona kitu hajapenda, atauliza.Weeeehh hongera sana kipenzi hamfuatiliani???
Una kesi, namsubiria Wige. Antonnia yupo... Good morning sijui ni jioni huko .... makoloni yako yanakusalimia ππππ