Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Njoo saivi tena kimbiaaa😂😏😏😏 nakuja kukukagua
Njoo saivi tena kimbiaaa😂😏😏😏 nakuja kukukagua
Kweli Mie shangazi enu humu Sumbai!!Oyaaa unamwitaje shangazi huyu? Unataka akunyime nini????
Didi akee Usiku Hujanibless jamani!🙆🙆Njoo saivi tena kimbiaaa😂
Ushindwee na ulegee Kwa jina la jeiefu.Kweli Mie shangazi enu humu Sumbai!!
Ugali dagaa 😁😁😁😁!!Ushindwee na ulegee Kwa jina la jeiefu.
Unataka utunyime nini?
Hahah hamna hivi vitu vzr tunakula wotreeeeeUgali dagaa!!
Nzuri sumbai uko poa... ulijificha wapi? Nikasahau kukuweka utuwekee hata mkomo tu.Bantu Lady habari yako mrembo?
Hapo kwenye kula wotree hapo ndio umeharibuuu😁!!Hahah hamna hivi vitu vzr tunakula wotreeeee
Ndiyo wa kiume huo, tuwekee kichwa ama miguu basi 😉Mkono wangu umekomaaa sanaa. Na Una minywele utaogopa
Weka hivohivoooo!!Mkono wangu umekomaaa sanaa. Na Una minywele utaogopa
Dadaake Sasa duhNjoo saivi tena kimbiaaa![]()
Yaani niko naparanga huku, ila ngoja nifanye namna.Didi akee Usiku Hujanibless jamani!🙆🙆
Basi kakaake mkataze asijeDadaake Sasa duh
Yaani akukague hadharani hapa?
Ngoja nitoke kwanza
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Sawa mamy at least usiku Wangu utakua mzuri!!Yaani niko naparanga huku, ila ngoja nifanye namna.
Usikae mbali
Kwa vile umesema wewe mtoto mweupe rangi ya mtume Mimi ni nani hata nipinge.Ndiyo wa kiume huo, tuwekee kichwa ama miguu basi![]()
Nimemkataza huyo chalii akoBasi kakaake mkataze asije
Hakuna mkate mgumuKwa vile umesema wewe mtoto mweupe rangi ya mtume Mimi ni nani hata nipinge.
