Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja tuendelee tuuu
Screenshot_20191118-154749_1.jpeg
 
[emoji1787][emoji1787]sure,, ni ile aina ya muandiko ambao mtu ananyonga herufi (ndiyo huo wako sasa) siyo ile aina ya mwandiko ambao mtu anacharaza herufi (kama wa SweetieLee[emoji23][emoji23]) mie mwenyewe nina aina hiyo ya kwanza ya mwandiko halafu wangu mkubwa sasa..
Hahaha.!!
Karma usinikumbushe hebu, nilikuwa nina akili shule ila mwandiko sasa!! Mwalimu akanituma nikanunue daftari, std 5 enzi hiyo, tukitoka class sessions na tuition, nabaki peke yangu kufundishwa kuumbwa mwandiko!!

Yule mama alijionea nisipoteze hichi kipaji bure akajitolea, MUNGU ambariki sana jamani, Leo sijui ningekuwa mgeni wa nani.!
 
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]waoooo dada nimekumiss mimi jamani hadi natamani nikukumbatie,, ulipotelea wapi eti kwani??
Mekumiss ujueee pia mdogo wangu mzuri mzuri!!

Busy na majukumu mdogo wangu! Mpaka sipati muda wa kukula!!

I love you more dan yesterday [emoji182]
 
Back
Top Bottom