Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

jamani,, nimekumbuka kuna kaka nilisoma naye darasa moja alikuwa na mwandiko mbaya jamani yaani waalimu waliongea hadi wakanyanyua mikono na siyo kwamba eti tulikuwa wadogo hapo tulikuwa form five..

Mie mwandiko wangu ni mzuri lakini mkubwa sana yaani hadi kuna mwalimu aliwahi kuniuliza eti "hivi hadi kwenye necta utaenda kuandika mwandiko huo huo hebu punguza bwana" ila ndiyo sijawahi kuupunguza hadi leo nilishashindwa mimi
Hahaha.!!
Karma usinikumbushe hebu, nilikuwa nina akili shule ila mwandiko sasa!! Mwalimu akanituma nikanunue daftari, std 5 enzi hiyo, tukitoka class sessions na tuition, nabaki peke yangu kufundishwa kuumbwa mwandiko!!

Yule mama alijionea nisipoteze hichi kipaji bure akajitolea, MUNGU ambariki sana jamani, Leo sijui ningekuwa mgeni wa nani.!
 
Back
Top Bottom