Nawapenda sana mimi, ngoja niwaachie uwanja! Nikipata kamuda nitakujaa!!
Nakupenda piaNawapenda sana mimi, ngoja niwaachie uwanja! Nikipata kamuda nitakujaa!!


Kishepu





jamani,, nimekumbuka kuna kaka nilisoma naye darasa moja alikuwa na mwandiko mbaya jamani yaani waalimu waliongea hadi wakanyanyua mikono na siyo kwamba eti tulikuwa wadogo hapo tulikuwa form five..Hahaha.!!
Karma usinikumbushe hebu, nilikuwa nina akili shule ila mwandiko sasa!! Mwalimu akanituma nikanunue daftari, std 5 enzi hiyo, tukitoka class sessions na tuition, nabaki peke yangu kufundishwa kuumbwa mwandiko!!
Yule mama alijionea nisipoteze hichi kipaji bure akajitolea, MUNGU ambariki sana jamani, Leo sijui ningekuwa mgeni wa nani.!

mimi mbona nimeshatupia nyingi humu eti??
Embu tupiamo yakwako nikuone jamani..
Punguza utani hujaachaga tu



pole na majukumu jamani,, I love you too dada yangu mzuri mzuri..
Mekumiss ujueee pia mdogo wangu mzuri mzuri!!
Busy na majukumu mdogo wangu! Mpaka sipati muda wa kukula!!
I love you more dan yesterday![]()
Sijaona etimimi mbona nimeshatupia nyingi humu eti??
Upooo
Kidari cha mzee kiko wapi
Will miss you dearpole na majukumu jamani,, I love you too dada yangu mzuri mzuri..