Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Kupitia jf utaolewa haraka sana, vijana wangu hawawezi kuniangusha🤣Sijaolewa na sina huyo mdogo wa kike sasa Jack 😓😓😓
Unaonja kidogo nje na wewe🤣🤣🤣Acha nipambane nahali yangu tyu Wigeeee nyie Humu pendaneni kwa amanii kabisa!!
Mimi hii🍆 niliyonayo inanitosha🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
ERoni mbona tayari ninaye Mr. Right wangu, bado ndoa tu. Mungu akipenda soon 🙏Kupitia jf utaolewa haraka sana, vijana wangu hawawezi kuniangusha🤣
Wige 😉😉😉😉 una shemeji humu tayari muda mrefu. Ila nimecheka Wige eti "Eeh??!
Kwa niaba ya vijana wako wanasema hawata kuangusha. Wamejipanga vema.Kupitia jf utaolewa haraka sana, vijana wangu hawawezi kuniangusha![]()
Hiyo yenye presha na visukari?Acha nipambane nahali yangu tyu Wigeeee nyie Humu pendaneni kwa amanii kabisa!!
Mimi hiiniliyonayo inanitosha
![]()
Najua hapo udendaKupitia jf utaolewa haraka sana, vijana wangu hawawezi kuniangusha![]()


Si ndioUnaonja kidogo nje na wewe![]()
Biblia inasema tuwe na kiasi Wige, hata mate yanidindoke vipi, muhimu kuwa na kiasi🤣🤣
Duh
Basi ana bahati sana huyo T 1990 ELYERoni mbona tayari ninaye Mr. Right wangu, bado ndoa tu. Mungu akipenda soon![]()
Roho inaumaWigeuna shemeji humu tayari muda mrefu. Ila nimecheka Wige eti "Eeh??!
Wewe achana na hoyo maneno, nakutafuta soon!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 niambie tu rafiki yangu National Anthem unaitwa huku my best..
CC: Jack Palladino msome Wige kwanza 😄😄😄😄
Wige siyo huyo, mbona hata simfahamu huyu kaka wa watu jamani. Acha vituko vyako 😄😄😄😄Basi ana bahati sana huyo T 1990 ELY
Mwambie namsabahi
Amepata chaguo zuri
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Hamtakaa mumfahamu 😜😜😜, siku hizi akiingia JF anasoma tu. Hajawahi nipa like, wala kuniquote. Huwa naishi humu kama hayupo 💃💃💃 ERoni atakuwa mshenga 😂😂😂😂😂😂
Nimesingiziwa mengi sana mkuu, ila kwa Bantu Lady hata ukisingizia sitakulaumu🤣🤣